Teknolojia ya #5G imetumika katika maisha ya watu kwenye kipindi cha virusi vya Corona. Gari la kujiendesha bila ya watu linatumika kupeleka mizigo kwa wakazi wa wilaya ya #Changxing, mkoani #Zhejiang, China, ili kupunguza hatari ya maambukizi ya virusi.
Na katika ghala moja mjini Nanjing, mkoani #Jiangsu, mashine inayotumia teknolojia ya 5G inasaidia kupeleka mizigo na kukusanya data, baada ya kupokea oda za wateja, inatumia dakika 20 tu kutoa bidhaa kutoka kwenye ghala.
#technology
View attachment 1496136View attachment 1496134View attachment 1496135