Unadhani ni nini kinaendelea hapa?

Joined
Aug 12, 2011
Posts
7,150
Reaction score
14,724
Hebu icheki vizuri hii picha kisha useme, umegundua/ unadhani nini kinaendelea?...

 
Ha!ha!Ha hapa naona kuna mgogoro wa kiwanja naona jamaa kaamua kupiga uzio wake kabisa ha!ha hii kubwa kuliko atakae kuja kuamlia hapa sijui...
 
Ha!ha!Ha hapa naona kuna mgogoro wa kiwanja naona jamaa kaamua kupiga uzio wake kabisa ha!ha hii kubwa kuliko atakae kuja kuamlia hapa sijui...

Kweli kabisa NAPITA
 
Last edited by a moderator:
Nasikitika kwa sababu tu nawajua watu hawa tuliishi nao fresh na hawakuwa na mahusiano zaidi ya matani yaliyopitiliza
 
Migogoro ya ardhi na mipaka hiyo.....taaaabu sana....kutoka hapa ni kuruka ukuta...huyooo town....kurudi nayo kuruka ukuta huyo ndani ya house...eeeh mama watoto wazima humu,mmepumua salama jamani!!!!!!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…