Unabii wa Mwl Nyerere watimia

Ngongo

Platinum Member
Joined
Sep 20, 2008
Posts
21,372
Reaction score
37,909


Mwl Nyerere aliweza kutabiri kwa usahihi kabisa wangetokea Wanasiasa wajinga,wapuuzi ambao kazi kubwa ngekuwa kusifu tu.

Dr Kigwangallah,Msukuma,Kibajaji .....
 
Huo siyo utabiri Wala unabii,haya ni matamanio. Nyerere hapa alikuwa anatamani kuona vijana wanakuwa hivyo,na hakuwa na uhakika sana kama ingewezekana. Ingekuwa unabii angesema kitakuja kizazi Cha vijana jeuri.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…