YonDu Udonta
JF-Expert Member
- Aug 6, 2016
- 723
- 569
Wakuu Salam Kwenu Za Weekend!
Kijana wenu nimefanikiwa kumpata rafiki ambaye mwaka huu sasa kanaleta story ya kuwa yeye ni bikra. Tulikutana Mwaka Jana Kwenye Taasisi Moja Mimi Nikiwa Mwajiriwa Mpya, Wakati Yeye Akiwa Ni Mwanafunzi Aliyemaliza Certificate Na Anafanya Mafunzo Ya Kazi Kwa Vitendo.
Mwanzoni Wakati Tunaazna Urafiki Sikua Na Interest Naye Lakini Yeye Ndiyo Aliyeanza Masuala Ya "nimekumiss", "wew sijui handsome" "natamani nikuone kila mara", "mara kanakuja ofisin kwetu"
Sasa Nilivoanza Kukatamani Ndio Kaniletea Hizi Habari, Ila Mchezo Hakataki Kutoa.
Je, Wewe Ulideal Vipi Na Situation Kama Hii?
Kijana wenu nimefanikiwa kumpata rafiki ambaye mwaka huu sasa kanaleta story ya kuwa yeye ni bikra. Tulikutana Mwaka Jana Kwenye Taasisi Moja Mimi Nikiwa Mwajiriwa Mpya, Wakati Yeye Akiwa Ni Mwanafunzi Aliyemaliza Certificate Na Anafanya Mafunzo Ya Kazi Kwa Vitendo.
Mwanzoni Wakati Tunaazna Urafiki Sikua Na Interest Naye Lakini Yeye Ndiyo Aliyeanza Masuala Ya "nimekumiss", "wew sijui handsome" "natamani nikuone kila mara", "mara kanakuja ofisin kwetu"
Sasa Nilivoanza Kukatamani Ndio Kaniletea Hizi Habari, Ila Mchezo Hakataki Kutoa.
Je, Wewe Ulideal Vipi Na Situation Kama Hii?