Umuhimu wa kukaa ghetto

Unafanya mazoezi kweli? Au kukaa kitako na video games ndio mwisho.
 
usafi sio mimi tu hasa hasa kudeki
Nakumbuka kipindi naanza maisha ya magetoni nilinunua tv kabla ya godolo,niliomba ruhusa kazini alafu nikaazima CD 15 nilikuwa nakesha hadi asbuhi naangalia Tv,ila swala la usafi kwangu ilikuwa mtihani.
 
ila mizunguko yangu ni mazoezi tosha, na huo mda wa mazoezi sina
 
Ghetto utakuwa unalipa kodi mwenyewe na washkaji wote watahamia humo,solution ni kuwa na Demu king'ang'anizi kila time yupo ghetto
Ni kuweka misimamo tu, mi ghetoni kwangu siruhusu washikaji kuja kulitumia, gheto ni kwa ajili yangu na siruhu wadau kuja kushinda gheto kama sehemu ya kupumzika.
Lipe heshima gheto lako, demu aje wa kwako tu, ila mashikaji wasije na mademu zao. Then jiweke busy na mishe zako mshikaji akihitaji kuja gheto mwambie subir nirudi..
La Sivyo hautakua huru na gheto lako.. Mi nawapiga chini masela wengi tu, mtu anakuja kulala ghetoni kwako bila sababu maalumu, haiwezekani bhana. Akalale gheto kwake au kama hana gheto akomae kwao.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…