je kuna umuhimu wa kuendelea kuwa na wabunge tulionao sasa hapa Tanzania? je wabunge tulionao wanauwezo gani wa kujadili bajeti zilizoandaliwa na wataalam?
Hivi hadi mtu ufikie uamuzi wa kupost, si inabidi kwanza utafakari unachotaka kupost? Sasa mtu na akili zake kabisa eti anauliza ''kuna umuhimu gani wa kuwa na wabunge''? Ni akili au matope hii jamani?