YoungAge.org Member Joined Aug 10, 2012 Posts 46 Reaction score 12 Aug 11, 2012 #1 Kwa namna unavyosoma maoni na michango hapa JF, unadhani wachangiaji wengi ni wenye umri kati ya miaka mingapi?
Kwa namna unavyosoma maoni na michango hapa JF, unadhani wachangiaji wengi ni wenye umri kati ya miaka mingapi?
Asprin Platinum Member Joined Mar 8, 2008 Posts 68,273 Reaction score 96,401 Aug 11, 2012 #2 YoungAge.org said: Kwa namna unavyosoma maoni na michango hapa JF, unadhani wachangiaji wengi ni wenye umri kati ya miaka mingapi? Click to expand... Kama wewe nahisi umri wako ni kati ya miaka 16 mpaka 18.
YoungAge.org said: Kwa namna unavyosoma maoni na michango hapa JF, unadhani wachangiaji wengi ni wenye umri kati ya miaka mingapi? Click to expand... Kama wewe nahisi umri wako ni kati ya miaka 16 mpaka 18.
tz1 JF-Expert Member Joined Mar 19, 2011 Posts 2,121 Reaction score 536 Aug 11, 2012 #3 Wote ni over 18 kasoro wewe kama avatar yako inavyo jieleza.
meningitis JF-Expert Member Joined Nov 17, 2010 Posts 8,464 Reaction score 4,828 Aug 11, 2012 #4 ni young age
YoungAge.org Member Joined Aug 10, 2012 Posts 46 Reaction score 12 Aug 11, 2012 Thread starter #5 tz1 said: Wote ni over 18 kasoro wewe kama avatar yako inavyo jieleza. Click to expand... Kama ni kweli, unadhani kwa nini JF haina mvuto kwa vijana chini ya umri huo?
tz1 said: Wote ni over 18 kasoro wewe kama avatar yako inavyo jieleza. Click to expand... Kama ni kweli, unadhani kwa nini JF haina mvuto kwa vijana chini ya umri huo?
tz1 JF-Expert Member Joined Mar 19, 2011 Posts 2,121 Reaction score 536 Aug 11, 2012 #6 YoungAge.org said: Kama ni kweli, unadhani kwa nini JF haina mvuto kwa vijana chini ya umri huo? Click to expand... sababu hapa siyo chekechea.
YoungAge.org said: Kama ni kweli, unadhani kwa nini JF haina mvuto kwa vijana chini ya umri huo? Click to expand... sababu hapa siyo chekechea.
Bishanga JF-Expert Member Joined Jun 29, 2008 Posts 15,321 Reaction score 10,077 Aug 11, 2012 #7 Narudi sasa hivi ngoja niwahi foleni ya kununua pampas.
Donnie Charlie JF-Expert Member Joined Sep 16, 2009 Posts 18,555 Reaction score 21,691 Aug 11, 2012 #8 YoungAge.org said: Kama ni kweli, unadhani kwa nini JF haina mvuto kwa vijana chini ya umri huo? Click to expand... Unaweza kutuambia kitu kilichofanya ujiunge na jf?
YoungAge.org said: Kama ni kweli, unadhani kwa nini JF haina mvuto kwa vijana chini ya umri huo? Click to expand... Unaweza kutuambia kitu kilichofanya ujiunge na jf?
Kaunga JF-Expert Member Joined Nov 28, 2010 Posts 12,529 Reaction score 13,501 Aug 11, 2012 #9 Bishanga said: Narudi sasa hivi ngoja niwahi foleni ya kununua pampas. Click to expand... Za wazee au kwa ajili ya wajukuu zako?
Bishanga said: Narudi sasa hivi ngoja niwahi foleni ya kununua pampas. Click to expand... Za wazee au kwa ajili ya wajukuu zako?
YoungAge.org Member Joined Aug 10, 2012 Posts 46 Reaction score 12 Aug 11, 2012 Thread starter #10 tz1 said: sababu hapa siyo chekechea. Click to expand... Kama sio chekechea mbona hakuna age restriction katika kujiunga?
tz1 said: sababu hapa siyo chekechea. Click to expand... Kama sio chekechea mbona hakuna age restriction katika kujiunga?
YoungAge.org Member Joined Aug 10, 2012 Posts 46 Reaction score 12 Aug 11, 2012 Thread starter #11 Never give up said: Unaweza kutuambia kitu kilichofanya ujiunge na jf? Click to expand... kwanza ni kujua kuna nini humu, kisha kushiriki kilichomo nahc nimekujibu ulivyotaka sasa na wewe jibu swali la msingi, unadhani umri wa wachangiaji wengi ni kati ya miaka mingapi?
Never give up said: Unaweza kutuambia kitu kilichofanya ujiunge na jf? Click to expand... kwanza ni kujua kuna nini humu, kisha kushiriki kilichomo nahc nimekujibu ulivyotaka sasa na wewe jibu swali la msingi, unadhani umri wa wachangiaji wengi ni kati ya miaka mingapi?
Chilli JF-Expert Member Joined Jul 17, 2011 Posts 1,655 Reaction score 746 Aug 11, 2012 #12 YoungAge.org said: Kwa namna unavyosoma maoni na michango hapa JF, unadhani wachangiaji wengi ni wenye umri kati ya miaka mingapi? Click to expand... Naona wapiga ramli mshafika hadi humu. Au ndio sensa imeanza. Mi natoka kidogo!!
YoungAge.org said: Kwa namna unavyosoma maoni na michango hapa JF, unadhani wachangiaji wengi ni wenye umri kati ya miaka mingapi? Click to expand... Naona wapiga ramli mshafika hadi humu. Au ndio sensa imeanza. Mi natoka kidogo!!
YoungAge.org Member Joined Aug 10, 2012 Posts 46 Reaction score 12 Aug 11, 2012 Thread starter #13 Chilli said: Naona wapiga ramli mshafika hadi humu. Au ndio sensa imeanza. Mi natoka kidogo!! Click to expand... kwa majibu kama haya naona wengi ni 25-35 endeleeni kunisaidia
Chilli said: Naona wapiga ramli mshafika hadi humu. Au ndio sensa imeanza. Mi natoka kidogo!! Click to expand... kwa majibu kama haya naona wengi ni 25-35 endeleeni kunisaidia
Chilli JF-Expert Member Joined Jul 17, 2011 Posts 1,655 Reaction score 746 Aug 11, 2012 #14 YoungAge.org said: kwa majibu kama haya naona wengi ni 25-35 endeleeni kunisaidia Click to expand... Ucpate shida kujua umri wangu, we muulize mkeo anajua!
YoungAge.org said: kwa majibu kama haya naona wengi ni 25-35 endeleeni kunisaidia Click to expand... Ucpate shida kujua umri wangu, we muulize mkeo anajua!
YoungAge.org Member Joined Aug 10, 2012 Posts 46 Reaction score 12 Aug 11, 2012 Thread starter #15 Chilli said: Ucpate shida kujua umri wangu, we muulize mkeo anajua! Click to expand... kama single
Leak Platinum Member Joined Feb 22, 2012 Posts 52,939 Reaction score 43,573 Aug 11, 2012 #16 Wa mwita mwana wawe! Bishanga said: Narudi sasa hivi ngoja niwahi foleni ya kununua pampas. Click to expand...
Wa mwita mwana wawe! Bishanga said: Narudi sasa hivi ngoja niwahi foleni ya kununua pampas. Click to expand...
Madame B JF-Expert Member Joined Apr 9, 2012 Posts 31,838 Reaction score 37,457 Aug 11, 2012 #17 Ni kati ya 50 to 70.
data JF-Expert Member Joined Apr 9, 2011 Posts 26,943 Reaction score 23,884 Aug 11, 2012 #18 Kaunga said: Za wazee au kwa ajili ya wajukuu zako? Click to expand... bila shaka hzo pampas ni kwa ajili ya mtoa mada...
Kaunga said: Za wazee au kwa ajili ya wajukuu zako? Click to expand... bila shaka hzo pampas ni kwa ajili ya mtoa mada...
Mbwiga88 JF-Expert Member Joined Jul 9, 2012 Posts 642 Reaction score 142 Aug 11, 2012 #19 Umetumwa na n.ch.emb sio bure
Judgement JF-Expert Member Joined Nov 13, 2011 Posts 10,326 Reaction score 4,787 Aug 11, 2012 #20 Shortly and clear Jamii foroums is adultszone Fullstop !