Meko kajificha uvunguni huko Chattle..Kwenye hili la corona tumefeli vibaya sana hii Serikali ijiuzulu
They dont care.Ile namba ya 199 iliyotolewa na wizara ya Afya juu ya COVID19 haipokelewi hata upige kutwa nzima. Jamaa wanaicheki tu.
Sasa kama simu haipokelewi namba ilitolewa ya nini?
Hatakiwi kwenda Hospitali.mkuu kama unaumwa corona Nenda hosptali usije ukafa na tai shingoni.
Acha vurugu. Jifungie ndani, nawa mikono, jipake sanitizer, na ikiwezekana jipake sanitizer kwenye mikono kabla hujatoka nyumbani na ukirudi paka sanitizer.hata wakipokea wahudumu wanaongea bass si bora niendelee kuwasumbua customer care voda walau sauti zao nyororo
Ile namba ya 199 iliyotolewa na wizara ya Afya juu ya COVID19 haipokelewi hata upige kutwa nzima. Jamaa wanaicheki tu.
Sasa kama simu haipokelewi namba ilitolewa ya nini?