Umewatambua wachezaji wangapi hapa?

Meja Jenerali Isamuhyo

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
3,129
Reaction score
9,678
Hiki ni kikosi cha Yanga nadhani 2005 unawatambua wangapi na uwataje!
NB:
Vijana mlioanza kufatilia baada ya AzamTv kueni wapole
 
Yanga ya 2005 _ 2007 ilikuwa ya moto kiasi chake. Abuu Ramadhan amokachi, Amri Kiemba, Nsajigwa kipa peter manyika, Doi Moke? Then Smg anakuwa replaced na Ngasa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…