UMEWAHI KUTIWA BAKORA ASSEMBLE NA MLEZI??

Singida ndio home

JF-Expert Member
Feb 23, 2012
3,188
3,367
Visa vya sekondari ni moja kati ya kumbu kumbu zangu ambazo siwezi kuzisahau kirahisi japo nmeshahitimu chuo.
Kuna kipindi nakumbuka shuleni sekondari ukiwa mtukukutu wanampigia simu mzazi wako aje, Kimbembe kipo kwa walimu watavyomshawishi mlezi wako akutie adabu mbele ya shule nzima, Kengele inagongwa wanafunzi wote tunaenda kushuhudia mwanafunzi mwenzetu akishushiwa mvua ya maana kutoka kwa mzazi wake....Nakumbuka kuna jamaa alimkodi mzazi na alikiri kwamba kakodisha mzazi maana yule mzee alimchumia bakora ya mpera na alimhandle sawia sawa sawa jamaa alishout "WE SIO BABA YANGU, BABA YANGU HANICHAPAGI HIVI":D
 
Nakumbuka kunamzee mmoja alimtia vitu mwanae mbele ya watu akaziita BAKORA KUNTU.
 
Me kuna libaba limoja hivi yani lilinishika maeneo ya makaburini nikiranda ovyo muda wa masomo c lika ni peleka skul acha kengele igongwe na wanafunzi kunizungka lile libaba lilinioshea sana siku hyo hua nikikumbka nacheka sana.
 
Visa vya sekondari ni moja kati ya kumbu kumbu zangu ambazo siwezi kuzisahau kirahisi japo nmeshahitimu chuo.
Kuna kipindi nakumbuka shuleni sekondari ukiwa mtukukutu wanampigia simu mzazi wako aje, Kimbembe kipo kwa walimu watavyomshawishi mlezi wako akutie adabu mbele ya shule nzima, Kengele inagongwa wanafunzi wote tunaenda kushuhudia mwanafunzi mwenzetu akishushiwa mvua ya maana kutoka kwa mzazi wake....Nakumbuka kuna jamaa alimkodi mzazi na alikiri kwamba kakodisha mzazi maana yule mzee alimchumia bakora ya mpera na alimhandle sawia sawa sawa jamaa alishout "WE SIO BABA YANGU, BABA YANGU HANICHAPAGI HIVI":D
nimesoma darasa la kwanza hadi la saba, baba mzazi hajawahi kufika shuleni, hata kuandikishwa nilipelekwa na dada. wazazi wangu hawajawahi kuja ninakosoma tangi primary hadi university, na hapohapo nilikuwa naongoza darasa katika shule zangu zote darasa la kwanza hadi form six.
 
Me kuna libaba limoja hivi yani lilinishika maeneo ya makaburini nikiranda ovyo muda wa masomo c lika ni peleka skul acha kengele igongwe na wanafunzi kunizungka lile libaba lilinioshea sana siku hyo hua nikikumbka nacheka sana.
 
Back
Top Bottom