Umewahi kugonganisha magari?

mzee wa kasumba

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2018
Posts
1,440
Reaction score
2,966
UMESHAWAHI kukutana kimwili na watu wenye uhusiano wa karibu?

Kama vile


Mtu na rafiki yake?
Mtu na ndugu yake?
Mtu na jirani yake?
Mtu na mtoto wake?
Mtu na mama yake?
Mtu na mfanyakazi mwenzie?


Baada ya kufanya hivo wote au mmoja wapo akajua mchongo.

JE LIKUWAJE???
 
Wewe ungetoa ushuhuda wako kwanza wengine tuendelee......
 
Wewe ungetoa ushuhuda wako kwanza wengine tuendelee......
Ushuhuda bwanA hapa nilipo nipo njia panda baada ya kutongoza demu kumbe nilishawahi kuwa na mahusiano na demu ambaye Ni rafiki yake. Halafu sikua najua Kama wanajuana.

Sasa nilipochoka Ni pale alipouliza
Kwani uliachana na dada Fulani??

Duuuuh

Nkasema umalaya huu hatar... Ila maadam ameshajua nitamkazia mpaka nimle
 
pole sana
 
Kama ulisha achana na wakwanza sioni tatizo hapo.
 
Nilishaga wahi kugonganisha magari mtu na rafiki yake.

Aiseee!!..hiyo siku ilikuwa tamu sana kwangu.
 
Mie niliwahi kuwa na demu chou flani hivi nikala halafu na mate wake akajichanganya nikala, baada ya kuja kugundua nililetewa mtiti mmoja hatari na yule wa kwanza maana huyu wa pili aliiba tu tendo baada ya mwenzake kumsimulia jinsi tulivomegana
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…