Think2
JF-Expert Member
- Jan 3, 2025
- 2,193
- 3,958
Yanga sports club pamoja na kutwaa ubingwa wa 2024/25 lakini still club inakosa pesa ya kufanya usajili. Pamoja na kunywesha watu supu za ngamia na chapati na hamna ela niuzwazwa wa hali ya juu.
Hio supu leo inalipwa kwa kulipia tofari la ubigwa kiasi 24,000/=. Hio pesa waliovuruga yanga kunywesha watu supu bora wangefanyia usajili sasa wameona hela imekata tuombe hela za mashabiki 😁😁.
Haya changieni hizo hela yanahitajika matofari million 1 ivi kwa hesabu ya harakaharaka kma mkichangia ni billion 24, ama kweli wajinga ndo waliwao!!
Calculation
1,000,000 × 24,000 = 24,000,000,000/=
Hio hela yote ufanyie usajili weweeeee kwendraaa
Hio supu leo inalipwa kwa kulipia tofari la ubigwa kiasi 24,000/=. Hio pesa waliovuruga yanga kunywesha watu supu bora wangefanyia usajili sasa wameona hela imekata tuombe hela za mashabiki 😁😁.
Haya changieni hizo hela yanahitajika matofari million 1 ivi kwa hesabu ya harakaharaka kma mkichangia ni billion 24, ama kweli wajinga ndo waliwao!!
Calculation
1,000,000 × 24,000 = 24,000,000,000/=
Hio hela yote ufanyie usajili weweeeee kwendraaa