Hii nchi mkuu baada ya kuanza kukabiri unga watu wanatafuta njia za kula kinamna. TCU inaacha kutumia website yao ambayo ina bandwidth kubwa wanawapa airtel ambao jam kwao ndo kila kitu - matokeo mtu akibofya hiyo *150*44# anapata "external application down" pengine azikiri uchi!!
Akaunti za applicants ndani ya TCU zimevamiwa na matangazo ya porn!! - mambo gani haya - tutaamini yanayojili hivi sasa kweli!!