Dogo sijui katokea wapi .. na anadanganya watu amesoma Tabora Boys mwaka jana... Wakati aliyeenda MuCobs mwaka jana kutoka Tabora ni mmoja tu,, afu hana mambo ya kitoto kama yake
Dogo sijui katokea wapi .. na anadanganya watu amesoma Tabora Boys mwaka jana... Wakati aliyeenda MuCobs mwaka jana kutoka Tabora ni mmoja tu,, afu hana mambo ya kitoto kama yake
nakuamini kaka!!nimeziona product nyingi za ardhi zinavyopeta mtaani..course zake bado zina market sana..mm nakwenda kupiga geomatics mungu akinijaalia uhai na uzima!!..
GEOMATIC a.ka. wasaka nyoka NDO BONGE LA KOZI AS LAND SURVEYOR KAZI YOYOTE YA UJENZI LAzima ipitie kwanza na surveyor, dogo kapige shule ila ukifika mwaka wa tatu acha tamaa ya hela hadi umalize chuo
GEOMATIC a.ka. wasaka nyoka NDO BONGE LA KOZI AS LAND SURVEYOR KAZI YOYOTE YA UJENZI LAzima ipitie kwanza na surveyor, dogo kapige shule ila ukifika mwaka wa tatu acha tamaa ya hela hadi umalize chuo