umeme umeme ni shidaaa

umeme umeme ni shidaaa

neikia

Member
Joined
Feb 20, 2014
Posts
25
Reaction score
5
UKONGA toka jana saa nne asubuhi hadi sasa hatuna umeme ni zaidi ya saa 34.
 
Hii nchi hii halafu hamna hata taarifa kwa wananchi
 
Ha ha ha ha ha ha haaaaah, kumbe ni sehemu zote umeme ni tatizo
 
Back
Top Bottom