Toka saa 7.00 usiku sehemu kubwa ya Kinondoni kama sio Jiji zima la Dar halina umeme.Hatujui tatizo ni nn?
Mamlaka husika tuambieni kuna nn kimetokea?Tupo kwenye joto kali hakulaliki
Tangu saa saba nipo macho nimeshindwa kabisa kulala kwa kwa sababu ya combination ya joto na mbu!! Wenye Dar yenu mmezoea. Sie wa bara ni TABU kupita maelezo!!!
Toka saa 7.00 usiku sehemu kubwa ya Kinondoni kama sio Jiji zima la Dar halina umeme.Hatujui tatizo ni nn?
Mamlaka husika tuambieni kuna nn kimetokea?Tupo kwenye joto kali hakulaliki
Ndo kwanza unarudi. Mi mwenyewe imebidi tu nikeshe.... Hilo la kuambiwa sababu itakuwa nyimbo(na mapambio) zile zile labda kama we ni mgeni hapa Tanzania.