Mimi nilipo mbona hakuna mgao? umeme fulltime, kila baada ya masaa 72 tunapewa umeme kwa masaa 4 tu. Friji tunaweke vyombo siku hizi. nanunua umeme wa luku wa sh 10,000/= natumia miezi 3 wakati kawaida nilikuwa natumia kwa siku 15 mpaka 20.
KIDUMU CHA CHA MAPINDUZI ZIDUMU FIKRA ZA MWENYEKITI WA CCM, CCM OYEEEEEEE. MAGAMBA JUUUU ZAIDI.