Poleni sana; mimi nilishafunga solar system; kwa mwanga, tv, computer nk sipati ugonjwa wa moyo ila kwa bei ya mahitaji ya viwandani hakika inatisha, na kwa ongezeko hilo itakuwa balaa.
Kama mchangiaji hapo juu alivyosema, tatizo ni uongozi. Pipa linavuja sana hivyo kila tutakachoingiza kitavuja tu, haliwezi kujaa. Dawa ni kuliziba kwanza na kwa kuwa haiwezekani kuliziba, then tutafute jipya!