Umejiandikisha lakini?

Umejiandikisha lakini?

Ngurubhe

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2014
Posts
1,840
Reaction score
1,049
Habari;

Bila shaka wote tutakuwa tumejiandikisha kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa unaokuja hivi karibuni. Kwani hakuna nyumba isiyokuwa na msingi kama ulisahau basi hakikisha unaenda leo.

Serikali yenyewe hata haitangazi kiivyooo kimya kimya ndio mwendo wao.
 
mkuu nimejiandikisha ila ni uhuni mtupu .Unaulizwa jina na umri tu ,huulizwi nyumba walaa nini na kwa hali ilvyo ukitaka kujiandikisha hata mitaa kumi unajiaandikisha ndo maana kuna baadhi ya sehemu kumekuwa na vurugu.
 
Baada yakufika kituo cha kujiandikisha, nilikuta diwani na mtarajiwa wa uenyekiti wa mtaa wameshikana mashati tayari kuzipiga. Taenda kesho.
 
mkuu nimejiandikisha ila ni uhuni mtupu .Unaulizwa jina na umri tu ,huulizwi nyumba walaa nini na kwa hali ilvyo ukitaka kujiandikisha hata mitaa kumi unajiaandikisha ndo maana kuna baadhi ya sehemu kumekuwa na vurugu.

Na vituo vipo karbu karbu....
anyways tutekeleze tu itabainika mwisho wa sku
 
Baada yakufika kituo cha kujiandikisha, nilikuta diwani na mtarajiwa wa uenyekiti wa mtaa wameshikana mashati tayari kuzipiga. Taenda kesho.

Lohhhooo hiii kali
Wapi huko?
 
Hii njama ya CCM. Wanajua watu wengi wana vitmbulisho vya mpiga kura na watu wamewapania, ndo mana wanavifuta na kuandikisha upya ili wale njama ya kuandikisha CCM wengi. Na hivi hawatangazi sana ili watu wasijiandikishe, wale wachache watakaojiandikisha watakuwa ni ccm so siku ya uchaguzi wana uhakika wa kushinda...
 
Hii njama ya CCM. Wanajua watu wengi wana vitmbulisho vya mpiga kura na watu wamewapania, ndo mana wanavifuta na kuandikisha upya ili wale njama ya kuandikisha CCM wengi. Na hivi hawatangazi sana ili watu wasijiandikishe, wale wachache watakaojiandikisha watakuwa ni ccm so siku ya uchaguzi wana uhakika wa kushinda...

Wewe usiende kujiandikisha ubaki unalalamika vivyo hivyo halafu CCM tukishinda ukeshe kwenye mitandao ya kijamii kulalama.

Jinga kabisa wewe.
 
Kwanzia tarehe 23-11-2014 hadi tarehe 29-11-2014 ndiyo siku za kujiandikisha ili uweze kupiga kura tarehe 14-12-2014 WAJULISHE WENGINE waliofikia umri wa miaka 18 waliozaliwa 1996 kabla ya tarehe 15 mwezi wa 12 wote wakajiandishe MAPEMA.na vile vitambulisho vya kura havitatumika kwenye uchaguzi huu.jiandikishe kwenye mtaa wako unaolala na kuamkia.tuma sms kwa wengine wapate elimu hii."KATIKA MUNGU TUNAAMINI"
 
vyama husika vingekuwa vinafanya zoezi la kuhimiza watu kujiandikisha.ukawa mnahitajika kuona mbali ,mkizinguka nnchi nzima bila kuhimiza watu kujiandikisha kwanza itakuwa ni kazi Bure
 
Hii njama ya CCM. Wanajua watu wengi wana vitmbulisho vya mpiga kura na watu wamewapania, ndo mana wanavifuta na kuandikisha upya ili wale njama ya kuandikisha CCM wengi. Na hivi hawatangazi sana ili watu wasijiandikishe, wale wachache watakaojiandikisha watakuwa ni ccm so siku ya uchaguzi wana uhakika wa kushinda...

Umeeeona eeee na wao walishafanya hadi pre election ndani ya mitaa yote so they have an actual picture of what is going on.

Embu tukajiandikishe sasa
 
Wewe usiende kujiandikisha ubaki unalalamika vivyo hivyo halafu CCM tukishinda ukeshe kwenye mitandao ya kijamii kulalama.

Jinga kabisa wewe.

Wala huna haja ya kutukana,sentensi yako ya mwisho imeharibu radha ya wewe kuonekana ni mkomavu kusiasa.

Ulieleweka bt ukatia sumu.avoid this habit pls
 
Kwanzia tarehe 23-11-2014 hadi tarehe 29-11-2014 ndiyo siku za kujiandikisha ili uweze kupiga kura tarehe 14-12-2014 WAJULISHE WENGINE waliofikia umri wa miaka 18 waliozaliwa 1996 kabla ya tarehe 15 mwezi wa 12 wote wakajiandishe MAPEMA.na vile vitambulisho vya kura havitatumika kwenye uchaguzi huu.jiandikishe kwenye mtaa wako unaolala na kuamkia.tuma sms kwa wengine wapate elimu hii."KATIKA MUNGU TUNAAMINI"[/QUOTE


Naaaam,mhm sana hii
 
Mimi tayari, Semtema Iringa, na nitapiga kura naomba uhai tu inshaallah
 
vyama husika vingekuwa vinafanya zoezi la kuhimiza watu kujiandikisha.ukawa mnahitajika kuona mbali ,mkizinguka nnchi nzima bila kuhimiza watu kujiandikisha kwanza itakuwa ni kazi Bure

una jua hii ESCROW INA SCROLL VICHIWA VYA WATU.NA HII,
I-INSTITUTE
P-OF PERPETUATING
T-TANZANIAN
L-LOSS.
WATU LAZIMA WAJIKUTE AKILI YOTE IPO HUKO.
 
Mie nilishauri Ukawa wafanye mikutano ya hadhara kupitia kwa wenyeviti na madiwani wao kuwahimiza watu wakajiandikishe ijapo mie nashukuru siku nimejiandikisha nilikuta vijana kibao wanajiandikisha kwa kasi ya ajabu ..twendeni jama.
 
Back
Top Bottom