Ni kweli nimeshuhudia marafiki zangu wakiachika kisa hao mama wakwe hasa! Ndio nataka kujua wasipojihusisha na maisha ya wanandoa hao wanapungukiwa nini?
Ni kweli nimeshuhudia marafiki zangu wakiachika kisa hao mama wakwe hasa! Ndio nataka kujua wasipojihusisha na maisha ya wanandoa hao wanapungukiwa nini?
Wewe utakuwa waaina gani, je nawewe utajihusisha na mahusiano ya binti/kijana wako au utakaa mbali hata kama hafanyi maamuzi sahihi katika uendeshaji wa treni yake ya mahusiano
Wewe utakuwa waaina gani, je nawewe utajihusisha na mahusiano ya binti/kijana wako au utakaa mbali hata kama hafanyi maamuzi sahihi katika uendeshaji wa treni yake ya mahusiano
Nitakaa mbali aisee kazi yangu ni kuwasaidia na kuwasapot watakapokwama, nitasuluhisha migogoro kwa hekima bila upendeleo, especially kama mtoto wa kiume ni wa kwangu nitajitahidi kutomkandamiza mkewe..
Nitakaa mbali aisee kazi yangu ni kuwasaidia na kuwasapot watakapokwama, nitasuluhisha migogoro kwa hekima bila upendeleo, especially kama mtoto wa kiume ni wa kwangu nitajitahidi kutomkandamiza mkewe..
Tatizo wanatoaga taarifa za uongo kwa wazazi wao ukute kosa la kwake analimanupulate na kukujaza upepo na chuki kwa mkweo na uhisi maumivu anayoyapata au aliyotendewa hapo utafanyaje
Tatizo wanatoaga taarifa za uongo kwa wazazi wao ukute kosa la kwake analimanupulate na kukujaza upepo na chuki kwa mkweo na uhisi maumivu anayoyapata au aliyotendewa hapo utafanyaje
Kwa kawaida kama unapenda mahusiano yako ya ndoa yadumu mkeo akikosea msemee kwao na yeye akusemee kwenu! Ila ukitaka kuharibu kila kitu peleka makosa ya mkeo kwenu! Utajenga chuki kiasi kwamba ata siku mmeelewana bado kwenu watakuwa na kinyongo! Sasa kama huyo atapeleka taarifa za uongo kwao tayari hapo ni mgogoro wa kinafsia unaanza kujengwa! Ata siku umempiga kofi tu wanaibua na ya tangu zamani!