Texas Tom.
JF-Expert Member
- Jun 8, 2013
- 510
- 273
Wanajanvi nashindwa kuelewa umbea kwa mwanaume inasababishwa na nini kwa kweli..mida si mirefu kuna dingi kanikuta nakula zangu fegi tartiiiibu akanisalimia fresh then kaenda kwa tajiri kumdokeza . Kwa kua tajiri etu ni mtasha, akamshika mkono kamleta hadi kwenye desk langu akamwambia "nijuavyo mimi huyu jamaa anakula bangi sasa unachonieleza kwamba anakula fegi yaelekea upo outdated kabisa" Jamaa kapata aibu ya mwaka!