Mzigua_255 JF-Expert Member Joined Jun 25, 2026 Posts 815 Reaction score 1,645 Aug 11, 2026 #1 Hii ni thread maalum kwa jambo lolote ambalo hulijui.! Kwenye thread hii utauliza wenye kujua jambo hilo watakujuza......, (Mfano» Je.? kwa nini wanaume ndo wanakufa halaka kuliko wanawake..? Halafu mwenye ujuzi atalijibu n.k Karibuni:
Hii ni thread maalum kwa jambo lolote ambalo hulijui.! Kwenye thread hii utauliza wenye kujua jambo hilo watakujuza......, (Mfano» Je.? kwa nini wanaume ndo wanakufa halaka kuliko wanawake..? Halafu mwenye ujuzi atalijibu n.k Karibuni:
mcTobby JF-Expert Member Joined Feb 16, 2018 Posts 7,070 Reaction score 20,305 Aug 11, 2026 #2 Kwanini ndege aina ya Cessna Grand caravan haziruki nyakati za usiku Hususani ukanda huu wa Afrika mashariki?
Kwanini ndege aina ya Cessna Grand caravan haziruki nyakati za usiku Hususani ukanda huu wa Afrika mashariki?
mcTobby JF-Expert Member Joined Feb 16, 2018 Posts 7,070 Reaction score 20,305 Aug 11, 2026 #3 Je , schizophrenia ndio ugonjwa wa kutisha zaidi wa akili?
mcTobby JF-Expert Member Joined Feb 16, 2018 Posts 7,070 Reaction score 20,305 Aug 11, 2026 #4 Yupi aliyekuwa mtawala katili kwenye British Monarchy?
mcTobby JF-Expert Member Joined Feb 16, 2018 Posts 7,070 Reaction score 20,305 Aug 11, 2026 #5 Swali la mwisho je , member wa j.f wako salama kiasi gani dhidi ya State Surveillance?
The Icebreaker Platinum Member Joined Apr 24, 2014 Posts 37,947 Reaction score 117,271 Aug 11, 2026 #6 Ni kitu gani kisichoonekana kinachounda 85% ya uzito wa universe's ambacho hatuwezi kukiona wala kukigundua?
Ni kitu gani kisichoonekana kinachounda 85% ya uzito wa universe's ambacho hatuwezi kukiona wala kukigundua?
Daudi1 JF-Expert Member Joined Dec 14, 2013 Posts 15,088 Reaction score 24,203 Aug 11, 2026 #7 Mbona majibu ya hatuoni, hebu mtoa mada onyesha mfano kwa kutoa majibu kwa maswali yaliyoulizwa hapo juu
Mbona majibu ya hatuoni, hebu mtoa mada onyesha mfano kwa kutoa majibu kwa maswali yaliyoulizwa hapo juu