Ulianzaje Kutafuta Maisha?

Mayunga234

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2017
Posts
1,725
Reaction score
2,005
Share hili na wengine wajifunze kupitia wewe na wasiwe waoga wa kuanza kutafuta maisha. Pia itawasaidia Waliomaliza vyuo vikuu kujifunza na kusubutu kuanza kutafuta Maisha bila kutegemea mzazi wala ajira.

Historia yako ya utafutaji wa Maisha itawafanya wengine waamasike na kujifunza zaidi na kutokuwa waoga wa kutafuta Maisha

...Tuambie ulianzaje Maisha vitu gani ulivyopitia kwenye kuanza Maisha kwasababu kuanza maisha sio kitu kirahisi ambacho utakurupuka ni kitu kinachoitaji kujitoa na kusubutu bila kuangalia nani anayekuangalia

Watu wengi sana siku hizi wamekuwa waoga sana wa kuanza maisha yao unakuta mtu ana miaka 30 lakini bado anaishi kwao na hajui wapi kwakuanzia kutafuta Maisha
 
Watu sio waoga maisha lazma uwe na mbinu thabiti! Huwezi kukurupuka tu kizembe eti unatafta maisha utafeli urudi home kwa aibu!
 
Watu sio waoga maisha lazma uwe na mbinu thabiti! Huwezi kukurupuka tu kizembe eti unatafta maisha utafeli urudi home kwa aibu!

Utakubalije kurudi nyumbani while una mikono miwili, Miguu miwili
Hadi mtu Akubali kurudi nyumbani huo ni uzembe
Maisha ni kama Vita mda wote unatakiwa uwe vitani kupigana otherwise lazima yakushinde
 
Utakubalije kurudi nyumbani while una mikono miwili, Miguu miwili
Hadi mtu Akubali kurudi nyumbani huo ni uzembe
Maisha ni kama Vita mda wote unatakiwa uwe vitani kupigana otherwise lazima yakushinde
Dah ni hatari man
 
Kipindi nipo nipo tu sina kazi wala kibarua miaka ya nyuma huko nilipata tabu sana kutafuta kitu cha kufanya ili nivimbe town

Nilisikia sauti ndogo sana kutoka kwenye njozi ikisema hivi
●Technology bado inahitaji watu ●

Nilijua naenda kuwa nani kwa njozi ile namshukuru sana Mungu
 

endelea kupambana
 
Aisee Mkuu, Mimi maisha utanitafuta, tukakaa chini, tukaweka mikakati, tukakubaliana yakaanza simple!
 
Aisee Afadhali Boss Mayunga nimekubambaa 😁 😁
Naomba niangalizie angalizie basi vi-opportunities ofisini hapo. Storekeeper niko available hapa na CV yangu mkononi. Hata kupangapanga ma-box poa tu.
Niko Serious Mkuu.
 
Aisee Afadhali Boss Mayunga nimekubambaa

Naomba niangalizie angalizie basi vi-opportunities ofisini hapo. Storekeeper niko available hapa na CV yangu mkononi. Hata kupangapanga ma-box poa tu.
Niko Serious Mkuu.

Hahahahah duh sawa
 
Ni fedheha kwa graduate was UD kuandika hivi.......waamasike.......kusubutu!
 
'...be humble and very work hard..' what?!!! Be humble and work very hard OR be humble and a very hard worker!
 
Humu kila mtu ni boss
Sometimes me huwa nahisi ni kweli kuwa asilimia kubwa ya watu humu jf ni wako katika position nzuri kiuchumi ila si wote kwa sababu jamii ya wafu wa jf wako tofauti. Kwa maoni yangu ni kuwa ukiwa great thinker basi lazima uwe problem solver na kufikiria jinsi ya kutunisha mfuko wako
Mf. Zero IQ tunamjua kwa mambi yake ya hovyo ya kuchakatana lakini huwa anakiri yeye ana ofisi ya chips hapo centre ya nchi. Pia angalia positive comments zake kwenye issue za hela utaniambia. Alishinda kwny competition humu aliyoleta mwana jf mmoja kuhusu wazo bora la biashara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…