King_Villa
JF-Expert Member
- Feb 6, 2012
- 575
- 378
Nakumbuka mwaka 1998 France wanachukua kombe la dunia Niko darasa la tatu Mdogo sana ila nafuatilia mpira hatari !
Nakumbuka Kwenye fainali hiyo hiyo zinedine zidane (zizou) anafunga goli Kali sana Lililosababbisha Mimi na watoto wenzangu kushangilia mpaka tukadondosha TV ...
Nilichezea kichapo kikali sana mpaka nilivimba miguu!
Haikuishia hapo siku iliyofuata nilichukua koti langu la shule nikaliandika mgongoni zinedine zidane ..
muda wa darasani Mwalimu wa zamu akaniona nimelivaa hilo koti asee alinimind akanipeleka offisin kwake huko offisin kumejaa walimu kama sita ..nikapitishwa Kwa kila Mwalimu nikala viboko vitatu Kwa kila Mmoja !
Haikuishia hapo nilipelekwa mbele ya shule nikala viboko kama saba viliuma sanaaa..
Huo ulikuwa mwanzo wa kuipenda ufaransa hadi Leo ndio timu Yangu ninayoikubali dunian hata ifungwe ngapi mi ni ufaransa?
Sijui wengine mlianzaje kushabikia YANGA na Simba
Nakumbuka Kwenye fainali hiyo hiyo zinedine zidane (zizou) anafunga goli Kali sana Lililosababbisha Mimi na watoto wenzangu kushangilia mpaka tukadondosha TV ...
Nilichezea kichapo kikali sana mpaka nilivimba miguu!
Haikuishia hapo siku iliyofuata nilichukua koti langu la shule nikaliandika mgongoni zinedine zidane ..
muda wa darasani Mwalimu wa zamu akaniona nimelivaa hilo koti asee alinimind akanipeleka offisin kwake huko offisin kumejaa walimu kama sita ..nikapitishwa Kwa kila Mwalimu nikala viboko vitatu Kwa kila Mmoja !
Haikuishia hapo nilipelekwa mbele ya shule nikala viboko kama saba viliuma sanaaa..
Huo ulikuwa mwanzo wa kuipenda ufaransa hadi Leo ndio timu Yangu ninayoikubali dunian hata ifungwe ngapi mi ni ufaransa?
Sijui wengine mlianzaje kushabikia YANGA na Simba