the gifted ric
Member
- Nov 7, 2015
- 7
- 8
Inaumiza kuyaona na kuyasikia mambo yafuatayo yakifanywa na wanaume wa kizazi cha sasa hivi, ni aibu na hayafai kabisa katika jamii zetu.
1 .Kushindwa kutunza siri,Kila mwanadamu ana matatizo na mapungufu yake ambayo kwa kiasi kikubwa hutakiwa kuyatatua kwa kina na umakini mkubwa,Lakini katika Siku za karibuni Imekuwa kawaida kuona ama kusikia mwanaume akieleza siri zake hadharani ama kwenye social media,Mara ooh Siku hizi Mke wangu ananinyima uchumba,Mara ooh Mke wangu ana kovu pajani,tumefikaje hapa?
2. Charting zenye ukakasi,uko mahali umetulia ukiwaza mambo yako,ghafla unasikia Mlio wa SMS,ile unaifungua tu unakutana na...Mambo vepee my?mfyuuu...xaxa mbona umenigaya?mpyuu xio vizuri my tutafutane.Daaah tumefikia hatua hii?
3. Ongezeko kubwa la wanaume tegemezi,Ingia love connect,magroup ya WhatsApp na social media zinginezo,sio suala la ajabu kukuta kijana wa miaka 25+ akitafuta mmama wa kudate nae,kijana wa kiume katika umri wa miaka 25+ unashindwa kutumia nguvu na akili yako kutafuta Pesa mpaka inafika hatua unataka uolewe na mmama?Ni kawaida kuwakuta vijana saloon wakijiremba kwa kusuka rasta na kupiga gym wapate six pack ili wavutie wamama watu wazima...Aibu iliyoje?
4. Kuishi kwa njia za mkato,Badala ya kutafuta kazi uhakika na kueleweka,inashangaza kumuona mwanaume wa miraba minne akitapatapa kubet mechi za ulaya ili kujiingizia kipato,yaani bet inakuwa ajira ya mwanaume anayetakiwa kuitunza familia?
5. UNAFIKI,unakutana na mwanaume mwenzako analalamika ugumu wa maisha,unamshauri ajaribu kufanya biashara zinalipa,anaanza kulalamika ooh,sina uzoefu na pia biashara ni ngumu,lakini ni mwanaume huyo huyo anayezama chumvini na zizini kwa mwanamke wake,Ni UNAFIKI wa kiwango cha lami kwa mwanaume kusema huwezi kufanya biashara wakati unaweza kazama chumvini na topeni bila uoga,mwanaume unajua zaidi style za sex kuliko mbinu za kujiongezea kipato?
6. Kuwahi kuzeeka...Kijana wa miaka 25+ analalamika kuwa hawezi kurudia tendo la ndoa,huyu kazeeka kabla ya wakati wake.Mwanaume ni kichwa cha familia,lazima uweze kumhudumia mkeo/mchumba wako kisawasawa sio unakuwa legelege,utasaidiwa!
Ruksa kuongeza Ukweli unaouma
1 .Kushindwa kutunza siri,Kila mwanadamu ana matatizo na mapungufu yake ambayo kwa kiasi kikubwa hutakiwa kuyatatua kwa kina na umakini mkubwa,Lakini katika Siku za karibuni Imekuwa kawaida kuona ama kusikia mwanaume akieleza siri zake hadharani ama kwenye social media,Mara ooh Siku hizi Mke wangu ananinyima uchumba,Mara ooh Mke wangu ana kovu pajani,tumefikaje hapa?
2. Charting zenye ukakasi,uko mahali umetulia ukiwaza mambo yako,ghafla unasikia Mlio wa SMS,ile unaifungua tu unakutana na...Mambo vepee my?mfyuuu...xaxa mbona umenigaya?mpyuu xio vizuri my tutafutane.Daaah tumefikia hatua hii?
3. Ongezeko kubwa la wanaume tegemezi,Ingia love connect,magroup ya WhatsApp na social media zinginezo,sio suala la ajabu kukuta kijana wa miaka 25+ akitafuta mmama wa kudate nae,kijana wa kiume katika umri wa miaka 25+ unashindwa kutumia nguvu na akili yako kutafuta Pesa mpaka inafika hatua unataka uolewe na mmama?Ni kawaida kuwakuta vijana saloon wakijiremba kwa kusuka rasta na kupiga gym wapate six pack ili wavutie wamama watu wazima...Aibu iliyoje?
4. Kuishi kwa njia za mkato,Badala ya kutafuta kazi uhakika na kueleweka,inashangaza kumuona mwanaume wa miraba minne akitapatapa kubet mechi za ulaya ili kujiingizia kipato,yaani bet inakuwa ajira ya mwanaume anayetakiwa kuitunza familia?
5. UNAFIKI,unakutana na mwanaume mwenzako analalamika ugumu wa maisha,unamshauri ajaribu kufanya biashara zinalipa,anaanza kulalamika ooh,sina uzoefu na pia biashara ni ngumu,lakini ni mwanaume huyo huyo anayezama chumvini na zizini kwa mwanamke wake,Ni UNAFIKI wa kiwango cha lami kwa mwanaume kusema huwezi kufanya biashara wakati unaweza kazama chumvini na topeni bila uoga,mwanaume unajua zaidi style za sex kuliko mbinu za kujiongezea kipato?
6. Kuwahi kuzeeka...Kijana wa miaka 25+ analalamika kuwa hawezi kurudia tendo la ndoa,huyu kazeeka kabla ya wakati wake.Mwanaume ni kichwa cha familia,lazima uweze kumhudumia mkeo/mchumba wako kisawasawa sio unakuwa legelege,utasaidiwa!
Ruksa kuongeza Ukweli unaouma