Gift mzalendo
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 3,771
- 4,913
Ukiachana na asilimia 98 ya kupikwa idadi ya waliopiga kura ni wachache sana ukilinganisha na waliogoma kupiga kura.
Ni kweli wananchi wengi walikubaliana na hoja ya chadema kwamba kupiga kura ni kupoteza muda .
Kwa hiyo hoja Yao ya No reform no election ilishinda na wao wameshinda.
Pamoja na sauti zao kufungiwa gerezani kupitia viongozi wao lakini sauti zao zilipenya malango ya Gerezani na kuingia kwenye mioyo ya watanzania
Gharama walizotumia Ccm ni kubwa sana kwenye kampeni lakini matokea yake ni aibu ya kitaifa na kimataifa.
Ukishindwa kuwin mioyo ya watu utaongoza Kwa nguvu kubwa sana
Nafikiri Ccm kubalini mmekataliwa na watanzania sio wakenya kama mnavyodai
Kukataliwa ni jambo gumu sana , ila angalieni namna ya kustep down bila kuharibu nchi na taifa letu
Watanzania wamewakataa kwenye mioyoyo Yao na mnalijua Hilo ingawa mnajikaza
Watu wenye akili Ccm tengezeni namna ya kuchilia madaraka Kwa amani Ili mjipange upya kurudi kama chama upinzani imara
Matapata faida gani kuharibu hata Yale machache mazuri mliyoyafanya Kwa ajili ya Taifa na nchi yetu.
Kama mnajua na mko Kwa ajili ya nchi na Taifa mtanielewa
Lakini kama mko Kwa ajili ya Chama chenu na genge Fulani la watu hamyaelewa mtasubiri muondolewe Kwa aibu.
Ni kweli wananchi wengi walikubaliana na hoja ya chadema kwamba kupiga kura ni kupoteza muda .
Kwa hiyo hoja Yao ya No reform no election ilishinda na wao wameshinda.
Pamoja na sauti zao kufungiwa gerezani kupitia viongozi wao lakini sauti zao zilipenya malango ya Gerezani na kuingia kwenye mioyo ya watanzania
Gharama walizotumia Ccm ni kubwa sana kwenye kampeni lakini matokea yake ni aibu ya kitaifa na kimataifa.
Ukishindwa kuwin mioyo ya watu utaongoza Kwa nguvu kubwa sana
Nafikiri Ccm kubalini mmekataliwa na watanzania sio wakenya kama mnavyodai
Kukataliwa ni jambo gumu sana , ila angalieni namna ya kustep down bila kuharibu nchi na taifa letu
Watanzania wamewakataa kwenye mioyoyo Yao na mnalijua Hilo ingawa mnajikaza
Watu wenye akili Ccm tengezeni namna ya kuchilia madaraka Kwa amani Ili mjipange upya kurudi kama chama upinzani imara
Matapata faida gani kuharibu hata Yale machache mazuri mliyoyafanya Kwa ajili ya Taifa na nchi yetu.
Kama mnajua na mko Kwa ajili ya nchi na Taifa mtanielewa
Lakini kama mko Kwa ajili ya Chama chenu na genge Fulani la watu hamyaelewa mtasubiri muondolewe Kwa aibu.