Ukweli ni kwamba bodaboda ana fursa na anamzidi kipato Mwalimu


Sijui ni walimu gani waliokuzunguka. Kuna walimu wanapokea mil 2.5 kwa mwezi.
 
Mleta mada Ni jobless,,,Ila Ana bachelor yaHuman resource,,,,Sasa alitagert kukaoa ka madam flan HIV ili kachukue mkopo afanye biashara!.. bahat mbaya kaka mtolea nje kakaolewa na ticha mwenzake,,,from that moment Ana wamind Sana walimu
 
Mleta mada Ni jobless,,,Ila Ana bachelor yaHuman resource,,,,Sasa alitagert kukaoa ka madam flan HIV ili kachukue mkopo afanye biashara!.. bahat mbaya kaka mtolea nje kakaolewa na ticha mwenzake,,,from that moment Ana wamind Sana walimu
Uhuuhuhuhu pole sana
 
Kunakitu kimoja watu huwa wanakosea, ku generelize Mambo. Kwa kifupi ni hv Kila kazi wapo wachache wanaofaidika na wengi wasindikizaji. Katika hizi hizi ajira tunazozirau wapo wachache wanapiga sana na hata umwambie nn awezi kukubali kuwaza hata kuiacha kazi akajiajiri lakini kwa hizohizo Ajira wengi wanapigika vibaya mno. Hata kwa boda boda hvyo hvyo wachache sana wanafaidi na wengi wao wanaganga njaa tu. Kwenye kilimo wengi wasindikizaji ila wachache huwaambii kuhusu kilimo. Hata biashara wengi hata ikifika wakati wa kulipa Kodi la pango mpk wakakope lakini wapo wachache wanalamba asali vibaya mno. Kwa hiyo msiwajaze watu upepo. Enzi za motivation speaker zilishapitwa na wakati.
 
Hhhahaha well said
 
Wanahonga sana lift
 
Wote walalahoi tu yaani ukiangalia nchi hii watu ambao wanapata kipato sustainable na cha kumuwezesha maisha bora haizidi asilimia 15% ,trust me .Kuna watu wana ajira ila hawana tofauti na vibarua tu
 
All in all me naona sehem yoyote ata kama unalipwa alfu tatu, ukijiongeza unaweza kupga pesa nyingi..

Kuna ticha mmoja anafundisha shule moja apa dar masomo ya physics na kemia anapigisha practical kwa madogo toka shule zingne kila somo 50k, ana centre yake ya tuition kakusanya madogo km 200+ na kila kichwa 20k per month .. inshort jamaa anapiga sn pesa sio kitoto so ni namna tu ya kujiongeza wazee

Ila hyo haifuti kwamba ualim ni kazi ya laana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…