Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,534
- 8,619
Abdalah Bulembo ...alikuwa tapeli na Mjanja Mjanja wa udalali Siku anashinda uwenyekiti ....JK alimtania ....." ...ni wewe ,? Basi Yale mambo yako ya ujanja ujanja acha ...wewe ni kiongozi Sasa "
Nasikia Magufuli Kampa Bulembo ofisi pale Ocean Rd street ...na 1 ...kama mtu wake wa siasa ....Sasa sijui kama ni personal au official ....lakini Nina Mashaka wale wasanii au wapigaji wa mjini Sasa watamtumia Bulembo
Nasikia Magufuli Kampa Bulembo ofisi pale Ocean Rd street ...na 1 ...kama mtu wake wa siasa ....Sasa sijui kama ni personal au official ....lakini Nina Mashaka wale wasanii au wapigaji wa mjini Sasa watamtumia Bulembo