Nihzrath
Member
- Jan 15, 2013
- 51
- 116
Ukweli ni kuwa;
Kadiri unamvyompenda sana mwanamke ,ndivyo unavyokaribia kumpoteza.
Wanawake kiujumla wanavutiwa na wanaume walio wababe, wenye misimamo na wasiojali sana. Wanawake hawapendi wanaume wapole sana.
Ukimsikiliza sana anachokitaka....Mwanamke anakudharau. Wanasema wanapenda maneno matamu kutoka kinywani mwa mwanaume lakini ukweli sio wanavyomaanisha.
Kiujumla...wanawake wanapenda vitu ambavyo wao hawana.
Naomba nikupe wosia kuhusu wanawake....mwanamke anapenda shuruba kiasi, kunyanyaswa kidogo katika mapenzi. Sisemi usiwe romantic...bali kuwa kwa kiasi. Usipende kumsikiliza sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kadiri unamvyompenda sana mwanamke ,ndivyo unavyokaribia kumpoteza.
Wanawake kiujumla wanavutiwa na wanaume walio wababe, wenye misimamo na wasiojali sana. Wanawake hawapendi wanaume wapole sana.
Ukimsikiliza sana anachokitaka....Mwanamke anakudharau. Wanasema wanapenda maneno matamu kutoka kinywani mwa mwanaume lakini ukweli sio wanavyomaanisha.
Kiujumla...wanawake wanapenda vitu ambavyo wao hawana.
Naomba nikupe wosia kuhusu wanawake....mwanamke anapenda shuruba kiasi, kunyanyaswa kidogo katika mapenzi. Sisemi usiwe romantic...bali kuwa kwa kiasi. Usipende kumsikiliza sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
