Pyepyepye
JF-Expert Member
- Jan 6, 2017
- 1,940
- 3,842
(1.) Mshahara wako hautakutajirisha. Maana bosi wako sio mpumbavu wa kiwango hicho.
(2.) Mshahara wako umepangwa ili kutosheleza mahitaji yako ya kila siku na hata ukizidi, hauwezi kukufaa kwa siku 100 zijazo. Sana sana hulautoshlezi kabisaaa.
(3.) Ikiwa kampuni yako inakupa thamani halisi ya huduma unayoitoa, ujue wanafanya kazi kwa hasara na hakuna wajiri mwehu kwa kiwango hicho.
(4.) Mara baada ya kupata ajira (HIRED), wakati wowote unaweza fukuzwa kazi (FIRED) au kustaafu (RETIRED), unaweza pia kujiuzulu wakati utapochoka (TIRED)
(5.) Mshahara ni rushwa unayopewa ili kusahau ndoto, familia, uhuru, kujiheshimu, thamani halisi ya elimu yako, maisha ya kijamii na malengo mengine binafsi.
(6.) Watoto wako hawataweza kurithi nafasi yako katika kampuni hiyo uliyoajiriwa. Ajira sio urithi. Amka kijana.
(7.) Kama mshahara wako hautoshi kulipa bili zako na mahitaji mengine mengi ya msingi na kukubakishia akiba. Yatosha sasa kujiandaa kwa umaskini baada ya kuacha kazi.
(8.) Ikiwa wewe ni mwajiriwa waza zaidi ya kula na kuvaa. Waza uzee, waza magonjwa yanayoweza kukufanya ukalala kitandani kwa muda mrefu ikiwemo kupooza. Utakapo patwa na haya utaweza tumia akiba yako na ikakufaa, je itatosha?
(9) Kuwa mfanyakazi ni sawa na kuwa mtumwa, kuwa mwajiriwa ni sawa na kuwa mke. Kwani unaishi kwa maelekezo ya bosi, wala huwezi kujiamulia tu bila ruhusa ya bosi.
(10.) Kwenye jarida la Forbes linalo ripoti watu matajir duniani, ulishawahi ona tajiri aliyeajiriwa?
Unalojambo la kuufanyia mshahara wako. Tumia mshahara wako kama ufunguo wa kukufikisha kwenye malengo yako.
(2.) Mshahara wako umepangwa ili kutosheleza mahitaji yako ya kila siku na hata ukizidi, hauwezi kukufaa kwa siku 100 zijazo. Sana sana hulautoshlezi kabisaaa.
(3.) Ikiwa kampuni yako inakupa thamani halisi ya huduma unayoitoa, ujue wanafanya kazi kwa hasara na hakuna wajiri mwehu kwa kiwango hicho.
(4.) Mara baada ya kupata ajira (HIRED), wakati wowote unaweza fukuzwa kazi (FIRED) au kustaafu (RETIRED), unaweza pia kujiuzulu wakati utapochoka (TIRED)
(5.) Mshahara ni rushwa unayopewa ili kusahau ndoto, familia, uhuru, kujiheshimu, thamani halisi ya elimu yako, maisha ya kijamii na malengo mengine binafsi.
(6.) Watoto wako hawataweza kurithi nafasi yako katika kampuni hiyo uliyoajiriwa. Ajira sio urithi. Amka kijana.
(7.) Kama mshahara wako hautoshi kulipa bili zako na mahitaji mengine mengi ya msingi na kukubakishia akiba. Yatosha sasa kujiandaa kwa umaskini baada ya kuacha kazi.
(8.) Ikiwa wewe ni mwajiriwa waza zaidi ya kula na kuvaa. Waza uzee, waza magonjwa yanayoweza kukufanya ukalala kitandani kwa muda mrefu ikiwemo kupooza. Utakapo patwa na haya utaweza tumia akiba yako na ikakufaa, je itatosha?
(9) Kuwa mfanyakazi ni sawa na kuwa mtumwa, kuwa mwajiriwa ni sawa na kuwa mke. Kwani unaishi kwa maelekezo ya bosi, wala huwezi kujiamulia tu bila ruhusa ya bosi.
(10.) Kwenye jarida la Forbes linalo ripoti watu matajir duniani, ulishawahi ona tajiri aliyeajiriwa?
Unalojambo la kuufanyia mshahara wako. Tumia mshahara wako kama ufunguo wa kukufikisha kwenye malengo yako.