LAWRENCE SIMION
Member
- Jul 27, 2019
- 20
- 15
Maisha hayana miujiza Bali ni jitihada.
Tusipokuwa kuwa na jitihada katika maisha yetu na kusubiria miujiza, Basi tutabaki kuzungumzia tuu mafanikio ya watu wengine.
Tupambane huku tukimtanguliza Mungu nasi tutafanikiwa.
Tusipokuwa kuwa na jitihada katika maisha yetu na kusubiria miujiza, Basi tutabaki kuzungumzia tuu mafanikio ya watu wengine.
Tupambane huku tukimtanguliza Mungu nasi tutafanikiwa.