ndatama
Member
- Jul 18, 2015
- 10
- 4
NI ACT AU CHADEMA
Ukweli Siku zote hujitenga na uongo haijalishi muda utaogharimu.
Kumekua tetesi kwa muda juu ya ufadhili wa fisadi nguli Lowasa kwa ACT, tetesi hizi zilifanywa kama propaganda na gumzo kwa wenzetu wa upande wa pili.
Moja kati ya vitu navyokumbuka ni kirefu cha neno ACT walivyokiunda A Akatwe C Ccm T tutampokea. Kwa busara na hekima tulivumilia.
Mungu sio Athumani wala John mungu in mungu Leo kaamua kuuonesha ukweli. Sijui watayapinga waliyoyasema juu ya ACT na Lowasa kisha kuupinga ufisadi walk origami kishka Lowasa kaufanya?
Akiba ya maneno in muhimu sana haswa kwa wanachama waliojiunga na vyama bila kuvielewa vyema vyama vyao.
Swali language kuu, Lowasa ni mdhamini wa CHADEMA au ACT???
Ukweli Siku zote hujitenga na uongo haijalishi muda utaogharimu.
Kumekua tetesi kwa muda juu ya ufadhili wa fisadi nguli Lowasa kwa ACT, tetesi hizi zilifanywa kama propaganda na gumzo kwa wenzetu wa upande wa pili.
Moja kati ya vitu navyokumbuka ni kirefu cha neno ACT walivyokiunda A Akatwe C Ccm T tutampokea. Kwa busara na hekima tulivumilia.
Mungu sio Athumani wala John mungu in mungu Leo kaamua kuuonesha ukweli. Sijui watayapinga waliyoyasema juu ya ACT na Lowasa kisha kuupinga ufisadi walk origami kishka Lowasa kaufanya?
Akiba ya maneno in muhimu sana haswa kwa wanachama waliojiunga na vyama bila kuvielewa vyema vyama vyao.
Swali language kuu, Lowasa ni mdhamini wa CHADEMA au ACT???