UKUTA: CHADEMA muungane kuwasaidia Polisi

UKUTA: CHADEMA muungane kuwasaidia Polisi

2kimo

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2014
Posts
2,029
Reaction score
2,072
Huu ni wakati wa kufocus na shida moja kuu kwa sasa nayo ni usalama wa nchi na raia! What is the use of having democracy katika nchi ambayo usalama unatetereka!

Katika hali kama hii ya sasa lazima taifa tuungane dhidi ya common enemy ambaye nadhani level yao ya uharifu inavuka ujambazi na kwa maana yeyote hawa wanaelekea kuwa magaidi zaidi ya majambazi!

Kwa akili ya kawaida polisi wamezidiwa kwa sasa, tukizidi kuwa exhaust na shida za maandamano tunawaweka ktk hali ngumu zaidi!

Lakini hatari kwa waandamanaji na wananchi inakuwa kubwa zaidi, maana askari aliyekuwa exhausted anakuwa liable kwa mistake na hata kwa just trivial panic anaweza kufyatua risasi, anaweza kuua hata bila ya kutarajiwa!

Taifa likiwa na shida, watu uungana kujenga na sio kubomoana!

CHADEMA wekeni uzalendo mbele, tangazeni kusitisha maandamano at least kwa sasa ili polisi wa focus!

Sote hata Mbowe, Lowasa, Lissu, Mimi na wewe tunahitaji ulinzi kuwa salama! Tunahitaji polisi kama vile wanavyotuhitaji, hata Hawa majambazi (magaidi in my opinion) wakipata chance watatutandika sote! Tuchukue mifano ya alshabaab na tuhesabu idadi ya raia na askari wanaouliwa na hao maharamia!

Au tazama Nigeria Boko Haramu wale mateka wao vibinti wanatoka jeshi gani?

Sote tutakuwa vulnerable kama polisi wakizidiwa!

Please chadema, UKUTA usimame angalau kwa muda!

Tupate kuwa wamoja wakati huu!
 
Askari wako fit mbona, kwa yale mazoezi mi naona wapo vizuri
 
Nadhani askari wetu ndio waseme kuwa sasa hivi wamekuwa exhausted hivyo hawawezi kuyalinda maandamano ya UKUTA. Hivyo, ka chadema wanaona kuwa lazima wayafanye basi wajue hakuna ulinzi.
Mambo ni mengi yametokea kwa pamoja hivyo UKUTA usogezwe mbele ili kuwapa polisi nafasi ya kuwalinda. Ni mawazo yangu tu jamani
 
Hatuna muda huo... Yani raia ndio wawasaidie police na sio police kuwasaidia raia???
We ndio umeshindwa kabisa kuelewa!
Yaani raia unadhani hawana jukumu la ulinzi?
Unahisi polisi wanaweza kukulinda kama usalama wao upo mashakani!
Raia wana jukumu namba moja kulinda taifa lao, ila kama hatutaki basi sote tutakuwa mateka!
 
Huu ni wakati wa kufocus na shida moja kuu kwa sasa nayo ni usalama wa nchi na raia! What is the use of having democracy katika nchi ambayo usalama unatetereka!
Katika hali kama hii ya sasa lazima taifa tuungane dhidi ya common enemy ambaye nadhani level yao ya uharifu inavuka ujambazi na kwa maana yeyote hawa wanaelekea kuwa magaidi zaidi ya majambazi!
Kwa akili ya kawaida polisi wamezidiwa kwa sasa, tukizidi kuwa exhaust na shida za maandamano tunawaweka ktk hali ngumu zaidi!
Lakini hatari kwa waandamanaji na wananchi inakuwa kubwa zaidi, maana askari aliyekuwa exhausted anakuwa liable kwa mistake na hata kwa just trivial panic anaweza kufyatua risasi, anaweza kuua hata bila ya kutarajiwa!
Taifa likiwa na shida, watu uungana kujenga na sio kubomoana!

CHADEMA wekeni uzalendo mbele, tangazeni kusitisha maandamano at least kwa sasa ili polisi wa focus!
Sote hata Mbowe, Lowasa, Lissu, Mimi na wewe tunahitaji ulinzi kuwa salama! Tunahitaji polisi kama vile wanavyotuhitaji, hata Hawa majambazi (magaidi in my opinion) wakipata chance watatutandika sote! Tuchukue mifano ya alshabaab na tuhesabu idadi ya raia na askari wanaouliwa na hao maharamia! Au tazama Nigeria Boko Haramu wale mateka wao vibinti wanatoka jeshi gani?
Sote tutakuwa vulnerable kama polisi wakizidiwa!

Please chadema, UKUTA usimame angalau kwa muda!
Tupate kuwa wamoja wakati huu!
Kwa yale mazoezi uliyoona, unaona dalili ya kuchoka?
By the way, wao wamesema wamechoka?
Acha sanaa!
 
Kwa yale mazoezi uliyoona, unaona dalili ya kuchoka?
By the way, wao wamesema wamechoka?
Acha sanaa!
Sawa!
Nenda barabarani ila usije kulia na haki za binadamu!
Kwa jinsi hali ilivyotete sidhani kama askari watahangaika kukimbizanannana watu vichochoroni
 
Askari wako fit mbona, kwa yale mazoezi mi naona wapo vizuri
Kama wanafanya mazoezi yooote hayo alafu bado wanauliwa, hii inatuonyesha nini??? kama wanafanya mazoezi yoooote hayo bado kuna watu kule mpakani mwa Tz na rwanda wameuliwa na wavamizi, je hii inatuonyesha nini??? nini maana ya wao kufanya mazoezi???
 
Sawa!
Nenda barabarani ila usije kulia na haki za binadamu!
Kwa jinsi hali ilivyotete sidhani kama askari watahangaika kukimbizanannana watu vichochoroni
Nilijua umbo lako ni 2kimo kumbe mpaka akili yako ni mbili kimo?
 
Sawa!
Nenda barabarani ila usije kulia na haki za binadamu!
Kwa jinsi hali ilivyotete sidhani kama askari watahangaika kukimbizanannana watu vichochoroni
Hayo ya kupanga kuvunja na kuua watu walishayapanga muda mrefu na hakuna anayekataa kuwa watafanya hivyo. Kuna mjinga mmoja anadai eti watafanya hivyo kwa kuwa wamechoka.
 
Back
Top Bottom