Ukumbusho: Mwezi mtukufu wa Ramadhani umekalibia

ibby

JF-Expert Member
Mar 20, 2017
415
584
habar zenu waku!naiman mpo salam kabsa,,nacukua fursa hii kutoa kma ukumbusho ,,kwa ndugu zang wa ki islam ,,kwamba mwezi mtukufu umekaribia (Ramadhan)tujianda eni kwakukisogeza kwa Mungu zaidi na kuzidisha matendo mema yatakayotufa tutapo ondoka katik dunia hii ,,tumche Mungu kila nyakati si Ramadhan tu bali Ramadhan tumeshauriwa kuzidisha kama alivo tusii Mtume wetu Muhammad(S.A.W) inamekana tunawez kuanza swaumu kweny tareh27../May. In sha Allah ...wasalam
 
ff030521129b4116aa61834cff9e1f58.jpg
3dfa148bc0900b255342ec30f4b19edf.jpg
 
habar zenu waku!naiman mpo salam kabsa,,nacukua fursa hii kutoa kma ukumbusho ,,kwa ndugu zang wa ki islam ,,kwamba mwezi mtukufu umekaribia (Ramadhan)tujianda eni kwakukisogeza kwa Mungu zaidi na kuzidisha matendo mema yatakayotufa tutapo ondoka katik dunia hii ,,tumche Mungu kila nyakati si Ramadhan tu bali Ramadhan tumeshauriwa kuzidisha kama alivo tusii Mtume wetu Muhammad(S.A.W) inamekana tunawez kuanza swaumu kweny tareh27../May. In sha Allah ...wasalam
Mwezi wa Ramadhani umelibia ni Lugha gani Mzee?
Jamani Kingereza sio Lugha yetu basi hata Kiswahili kinatushinda?
 
mengine soma uelew makusudio sio uuliz silly questions mkuu!!
Munatuharibia Kiswahili mzee, mengine lazima tuseme, Kiswahili kina wenyewe , hivi unashindwa kuandika umekaribia mpaka uandike umekalibia?
 
habar zenu waku!naiman mpo salam kabsa,,nacukua fursa hii kutoa kma ukumbusho ,,kwa ndugu zang wa ki islam ,,kwamba mwezi mtukufu umekaribia (Ramadhan)tujianda eni kwakukisogeza kwa Mungu zaidi na kuzidisha matendo mema yatakayotufa tutapo ondoka katik dunia hii ,,tumche Mungu kila nyakati si Ramadhan tu bali Ramadhan tumeshauriwa kuzidisha kama alivo tusii Mtume wetu Muhammad(S.A.W) inamekana tunawez kuanza swaumu kweny tareh27../May. In sha Allah ...wasalam
cc FaizaFoxy
 
InshaAllah,Mwenyezi Mungu atufanyie wepesi kuweza kuufikia vyema huu mwezi mtukufu wa Ramadhani tuweze kufunga,Na wale wenye vidonda vya tumbo ambao karibia na ramadhani vinawaanza awaponye kwa uwezo wake yeye Allah
 
InshaAllah,Mwenyezi Mungu atufanyie wepesi kuweza kuufikia vyema huu mwezi mtukufu wa Ramadhani tuweze kufunga,Na wale wenye vidonda vya tumbo ambao karibia na ramadhani vinawaanza awaponye kwa uwezo wake yeye Allah
Sumuu taswihum
 
ﻣﺘﻦ ﺍﻟﺤﺪﻳﺚ
ﻋﻦ ﺃﻣﻴﺮ ﺍﻟﻤﺆﻣﻨﻴﻦ ﺃﺑﻲ ﺣﻔﺺ ﻋﻤﺮ ﺑﻦ ﺍﻟﺨﻄﺎﺏ ﺭﺿﻲ ﺍﻟﻠﻪ ﻋﻨﻪ ، ﻗﺎﻝ : ﺳﻤﻌﺖ ﺭﺳﻮﻝ ﺍﻟﻠﻪ ﺻﻠﻰ ﺍﻟﻠﻪ ﻋﻠﻴﻪ ﻭﺳﻠﻢ ﻳﻘﻮﻝ : ‏( ﺇﻧﻤﺎ ﺍﻷﻋﻤﺎﻝ ﺑﺎﻟﻨﻴّﺎﺕ ، ﻭﺇﻧﻤﺎ ﻟﻜﻞ ﺍﻣﺮﻱﺀ ﻣﺎﻧﻮﻯ ، ﻓﻤﻦ ﻛﺎﻧﺖ ﻫﺠﺮﺗﻪ ﺇﻟﻰ ﺍﻟﻠﻪ ﻭﺭﺳﻮﻟﻪ ، ﻓﻬﺠﺮﺗﻪ ﺇﻟﻰ ﺍﻟﻠﻪ ﻭﺭﺳﻮﻟﻪ ، ﻭﻣﻦ ﻛﺎﻧﺖ ﻫﺠﺮﺗﻪ ﻟﺪﻧﻴﺎ ﻳﺼﻴﺒﻬﺎ ، ﺃﻭ ﺍﻣﺮﺃﺓ ﻳﻨﻜﺤﻬﺎ ، ﻓﻬﺠﺮﺗﻪ ﺇﻟﻰ ﻣﺎ ﻫﺎﺟﺮ ﺇﻟﻴﻪ ‏) ﺭﻭﺍﻩ ﺍﻟﺒﺨﺎﺭﻱ ﻭ ﻣﺴﻠﻢ ﻓﻲ ﺻﺤﻴﺤﻬﻤﺎ
Jazakallahu khayra
 
Back
Top Bottom