Ukumbi wa Mpira

Ukumbi wa Mpira

ntule

Senior Member
Joined
Feb 18, 2014
Posts
104
Reaction score
29
Nimefungua ukumbi wa kuonyesha
Mechi za lingi mbalimbali duniani ,msaada wenu kwenye kuupa jina LA ukumbi ,napendekeza jina liwe LA kuvutia kwa washabiki wa mpira,,
 
Alianz arena au Emirates stadium
 
Nou Camp Stadium utatisha sana

Ukishindwa hilo jina mwanana uite MAKINIKIA STADIUM
 
Asnten kama kuna nyongeza ruksa kuniongezeaa hata majina mengine
 
Back
Top Bottom