Ukombozi wa afrika

amiride

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2011
Posts
200
Reaction score
37
[Ukombozi Africa – Urafiki Jazz Band]

Mwenyekitiiiiiii,

Wa nchi tano zilizo mstari wa mbeleeee,

Tunakuomba, Uzidishe mapambano ya kusini,

Mwa Afrika,

Kwani maadui , wa Afrikaaaaaaaaaa,

Walisumbua sana bara letu hili la Afrika.



Raisi Kaunda, na Samora wa Msumbiji,

Silais Khamaaa, wananchi wa Angola ,

Tunawaambiaaaa, Aluta continua

Kibwagizo:

Mwenyekiti Mwalimu Nyerere baba, ( Nyerere baba ),

Imarisha ukombozi wa Afrika ( Afrika ) x2

Uhuru wetu hauwezi kuwa safi,

Mpaka Afirika yote imekuwa huru Mwalimu eeeeh

Kibwagizo:

Mwenyekiti

Maadui wa Bara la Afirika, wameanza kuwahujumu

Viongozi Mwalimu eeeh



Kibwagizo:

Mwenyekiti ........

Morltara Mohamedi wa Nigeria, na Marien Ngwabi

Wa Kongo wamepotea Mwalimu eeeh

Kibwagizo:

Mwenyekiti .........

[Rudi mwanzo]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…