[Ukombozi Africa Urafiki Jazz Band]
Mwenyekitiiiiiii,
Wa nchi tano zilizo mstari wa mbeleeee,
Tunakuomba, Uzidishe mapambano ya kusini,
Mwa Afrika,
Kwani maadui , wa Afrikaaaaaaaaaa,
Walisumbua sana bara letu hili la Afrika.
Raisi Kaunda, na Samora wa Msumbiji,
Silais Khamaaa, wananchi wa Angola ,
Tunawaambiaaaa, Aluta continua
Kibwagizo:
Mwenyekiti Mwalimu Nyerere baba, ( Nyerere baba ),
Imarisha ukombozi wa Afrika ( Afrika ) x2
Uhuru wetu hauwezi kuwa safi,
Mpaka Afirika yote imekuwa huru Mwalimu eeeeh
Kibwagizo:
Mwenyekiti
Maadui wa Bara la Afirika, wameanza kuwahujumu
Viongozi Mwalimu eeeh
Kibwagizo:
Mwenyekiti ........
Morltara Mohamedi wa Nigeria, na Marien Ngwabi
Wa Kongo wamepotea Mwalimu eeeh
Kibwagizo:
Mwenyekiti .........
[Rudi mwanzo]
Mwenyekitiiiiiii,
Wa nchi tano zilizo mstari wa mbeleeee,
Tunakuomba, Uzidishe mapambano ya kusini,
Mwa Afrika,
Kwani maadui , wa Afrikaaaaaaaaaa,
Walisumbua sana bara letu hili la Afrika.
Raisi Kaunda, na Samora wa Msumbiji,
Silais Khamaaa, wananchi wa Angola ,
Tunawaambiaaaa, Aluta continua
Kibwagizo:
Mwenyekiti Mwalimu Nyerere baba, ( Nyerere baba ),
Imarisha ukombozi wa Afrika ( Afrika ) x2
Uhuru wetu hauwezi kuwa safi,
Mpaka Afirika yote imekuwa huru Mwalimu eeeeh
Kibwagizo:
Mwenyekiti
Maadui wa Bara la Afirika, wameanza kuwahujumu
Viongozi Mwalimu eeeh
Kibwagizo:
Mwenyekiti ........
Morltara Mohamedi wa Nigeria, na Marien Ngwabi
Wa Kongo wamepotea Mwalimu eeeh
Kibwagizo:
Mwenyekiti .........
[Rudi mwanzo]