Uko wapi uzuri?

Peculiar

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2015
Posts
821
Reaction score
689
Waungwana,

Hivi uzuri wa mtu au kitu upo kwenye kitu chenyewe au upo kwenye macho ya mpendaji? Maana unachokiona wewe kizuri,
mwingine anaona kibaya.Unachopenda mwingine hapendi.

Uzuri wa mtu au kitu upo kwenye nini?

Tuambizane
 
uko kwenye macho yake mwenyewe ni sawa na mwanaume utamu anao mwenyewe
 
Pamoja wanasema upo kwa macho ya mtazamaji ila kuna wale ambao ni wazuri tu hata mnyama wa aina gani akiona anaukubali uzuri wake.

Na pia uzuri wa mwanamke unatokana na balance ya kila kitu kiwe optimal. Uzuri wa sura, kuumbika kwa mwili, unadhifu wa mavazi na hata jinsi unavyoongea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…