Ukiwa muongo usiwe msahaulifu

Ukiwa muongo usiwe msahaulifu

mr pipa

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2021
Posts
3,522
Reaction score
7,517
Kuna jamaa mmoja yeye alikuwa muwindaji, basi siku moja alivyotoka kwenye mawindo yake akawa amekuja kijiweni kupiga story na wenzake, jamaa akaanza kuwasimulia wenzake, aisee juzi katika kuwinda winda kwangu nafika mitaa fulani hivi nikakutana na pundamilia, kwakuwa sikuwa na silaha wala mbwa, nikaanza kumkimbiza yule punda milia nikamkimbiza nikamkimbiza nilipomkaribia nikamkata mtama.

Mara simu ya yule jamaa muwindaji aliekuwa anawasimulia story wenzake ikawa imeita, akacheki ilikuwa namba ya mpenzi wake akapokea, alivyo maliza kuongea na ile simu!!! Akawarudia jamaa zake hivi niliishia wapi?

Jamaa zake wakamjibu pale ambapo, " ulivyomsogele ukamkata mtama" jamaa akadakia aah basi nilivyomkata mtama nika "mtombaa" jamaa zake wakabaki kujiuliza ni pundamilia mnyama wa polini tunaemjua na sisi au??
 
Duuuh! Mwamba ulikumbuka kula asubuhi? Maana nakumbuka jana tulipomaliza kuvuta bangi ulienda geto ukilalamika hujala.
 
Duuuh! Mwamba ulikumbuka kula asubuhi? Maana nakumbuka jana tulipomaliza kuvuta bangi ulienda geto ukilalamika hujala.
acha kufananisha bangi na vitu vya ajabu mi ndio kitu cha ajabu
 
Nilishasema na nitaendelea kusema,kama hakutakuwepo na juhudi za dhati ku control maudhui yasiyofaa katika jukwaa hili basi linaenda kuwa moja kati ya jukwaa la hovyo hapa Tanzania na dunia kwa ujumla cc Moderator Active Paw
 
Back
Top Bottom