Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,623
- 112,692
Hata ikileta jina la Regina Lowassa, wakihitaji mchango watapata tu
Kivipjipange
HeheheHata ikileta jina la Regina Lowassa, wakihitaji mchango watapata tu
HeBado mnachangia Bilionea..
HahahaKitambulisho rejea;
C1151007.1409.C18252. Umetuma 200,000. Tshs Kwa EDWARD NGOYAI LOWASSA. Salio jipya ni 25,000. OFA babukubwa ! pata nyongeza ya unit za umeme kila unaponunua LUKU kupitia Airtel Money.
je umeshajaribu kuwatumia ukaona inayotokea? Au Nimedanganywa? Maana Nataka Kuwachangia
HahahaNaomba hiyo namba na mimi nijaribu.