Ukitamka umaanishe

Kimwakaleli

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2018
Posts
14,671
Reaction score
21,022
Habari wana Jamii Forums,

Nilikulia na kulelewa na bibi yangu mzaa mama, hapo wengi watdhani ni mtoto wa nje!

Nilikuwa mjukuu wa kwanza kwao, tena jembe! Alinufundisha mengi sana na ndio ninayaishi. Mfano mtu anakaribishwa kula anajifanya kashiba! Mwenye chakula anamuhimiza amege hata tonge moja tu kutia baraka.

Matokeo yake anakubali kula cha kuchangaza anakula mwanzo hadi mwisho. Tonge hadi tonge. Noma washikaji.
 
Ngoja nipige mawili matatu... hpo ndio Utajua hujui hsa kwa zile karibu zetu za majaribio
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…