OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 3,640
- 9,219
Wakuu,
Aliyesema, "You can not understand a woman" alikuwa sahihi kwa asilimia 100%,
Kamwe huwezi kumuelewa mwanamke, ila unaweza kumuelewa kwa kumpenda,
Ukikuta kapika chakula kibichi vumilia usimfukuze,
Akikutukana au kukutolea maneno makali mfano kukuambia unanuka wakati mnalala naye usiku kucha kila siku vumilia usimfukuze.
Akiwa anakununia nunia vumilia usimfukuze,
Akikasilika akakunyima unyumba vumilia usimfukuze,
Ukikorofishana nae akakurushia ngumi au kukuzaba kibao vumilia usimrudishie
Ukimfumania mfukuze kama huwezi vumilia usimfukuze,
Hakika mtadumu daima,
Je wewe umeweza vipi kudumu na mke au mpenzi wako kwa muda mrefu?
Ongezea neno hapo chini.
Aliyesema, "You can not understand a woman" alikuwa sahihi kwa asilimia 100%,
Kamwe huwezi kumuelewa mwanamke, ila unaweza kumuelewa kwa kumpenda,
Ukikuta kapika chakula kibichi vumilia usimfukuze,
Akikutukana au kukutolea maneno makali mfano kukuambia unanuka wakati mnalala naye usiku kucha kila siku vumilia usimfukuze.
Akiwa anakununia nunia vumilia usimfukuze,
Akikasilika akakunyima unyumba vumilia usimfukuze,
Ukikorofishana nae akakurushia ngumi au kukuzaba kibao vumilia usimrudishie
Ukimfumania mfukuze kama huwezi vumilia usimfukuze,
Hakika mtadumu daima,
Je wewe umeweza vipi kudumu na mke au mpenzi wako kwa muda mrefu?
Ongezea neno hapo chini.