pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,344
Nilidhani ni utani kumbe ni kweli kwamba tarehe 24 kuna bonge la festival la 'kufukuza' Corona yaani 'farewell party'. Eti na watu wanaalikwa waende wakijivinjari na wakadensi ili kusherehekea ushindi wao dhidi ya Corona.
Kesho utasikia wakituambia kwamba Kenya tuige na hili pia. Majirani nawaombeni tafadhali mkitumia mmea msiwe mnasahau kutoa mbegu kwanza.
Kesho utasikia wakituambia kwamba Kenya tuige na hili pia. Majirani nawaombeni tafadhali mkitumia mmea msiwe mnasahau kutoa mbegu kwanza.