Mimi nadhani CUF wako sahihi sana,
Naona chadema ndio wamelianzisha,wamewatukana cuf kanda ya ziwa,wamesema cuf ni mke wa ccm n.k.
Hali halisi katika siasa mwenzio akikutukana nawe mtukane au kaa kimya ufe kifo cha mende,mimi nimewasikiliza cuf juzi-wana hoja za msingi sana kuwaeleza wananchi,nadhani ni muhimu chadema iachane na hizi siasa za kuiparamia cuf kila kona,na kama cdm wataendelea kuwatukana cuf ni muhimu cuf wakajibu mapigo na hivyo ndivyo siasa inakuwa .