Ukishangaa ya uvccm utaona ya lipumba na hamadi rashid

Hamad Rashid: Kweli wewe leo umekuwa wa kuponda chama cha upinzani?? Umesahau kuwa ulishawahi sema kuwa "hamuwezi kuwwachia nguruwe wale peke yao shamba lazima mle wote!!!!.

Au unataka nafasi kwenye serikali ya mapinduzi, maana kama nakumbuka vizuri huna nafasi yoyote. Tutamwambia Maalim Seif akukumbuke eh baba. Tushajua tatizo lako.
 

soma habari leo na blog ya mjengwa hizo ndiyo zimejaa hayo maneno , nafikiri huwa wanatumiwa hizo taarifa wao tu, hata gazeti la uhuru haliwezi andika upuuzi huu, shame to CUF and shame to professor
 
Yuko bwana mmoja ni kati ya wanachama waanzilishi wa CUF kanieleza kuwa sasa hivi anaona aibu kujitambulisha kwa watu wengine kuwa yeye ni mwanachama wa CUF kwa jinsi chama chao kilivyopoteza mwelekeo na kukubali kutumika kijinga na CCM. Sasa hakuna ungangari wamebaki na ulainilaini tuu
 
Jamani hawa CUF mbona wanaelekea kufa kifo cha aibu,yaani wameolewa na CCM kwa ndoa ya mkeka lakini hawatulii au wanataka kuolewa,habari yao kwisha kabisa.
 

poleni sana cuf, ndio jeneza lenu hilo.... Hatudanganyiki tena!!!!:tongue:


no thank you sir!
 
Mimi nadhani CUF wako sahihi sana,
Naona chadema ndio wamelianzisha,wamewatukana cuf kanda ya ziwa,wamesema cuf ni mke wa ccm n.k.
Hali halisi katika siasa mwenzio akikutukana nawe mtukane au kaa kimya ufe kifo cha mende,mimi nimewasikiliza cuf juzi-wana hoja za msingi sana kuwaeleza wananchi,nadhani ni muhimu chadema iachane na hizi siasa za kuiparamia cuf kila kona,na kama cdm wataendelea kuwatukana cuf ni muhimu cuf wakajibu mapigo na hivyo ndivyo siasa inakuwa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…