Ukiona unashindwa kusimamisha gafra!

Ukiona unashindwa kusimamisha gafra!

waridiua

Member
Joined
May 26, 2017
Posts
16
Reaction score
188
Jamami wanaume mlio owa msio kuwa hata na michepuko ukiona

Umeacha kusimamisha gafra usikurupuke kusema nimeishiwa nguvu za kiume

Pengine shuguri zako unazo fanya zinakuzidi uwezo ivyo unachoka kupita kiasi


Kingine unakutana na michambo mrangoni
Hata ujapumua!


Ukitaka upate jibu tafuta mchepuko kajaribu tu uone kama inasimama au rahaa ukiona nako kapa

Kafate sasa ushauri wa dakitari......
 
Naomba nichepukage na wewe, maana hapa ndio kwanza nimekuja kwenye huu uzi kwa wakati mujarab kabisa, maana nimetoka kushindwa kusimamisha ghafla... tehteehhh
 
"Sijaerewa urichoandika,itakua umeandika kwa gafra tena ukiwa mrangoni na mkeo amerara hapohapo".
 
Back
Top Bottom