shaurimbaya
JF-Expert Member
- Oct 3, 2013
- 1,915
- 2,326
Habari za jioni wadau.
Wadau kama heading inavyosema. Hii inawahusu watu wazima wanaojitambua. Mashoga, Vicheche, Wasagaji, Unsound mind, Haiwahusu.
Ukiona umefika 30 na hujaoa wala kuolewa na huna mpango wa kuoa au kuolewa siku moja anza kujiangalia mara mbili.
Usiku mwema wote
Jiwe limerushwa gizani hilo ukisikia yalaaah ujue limempata mtu.
Wadau kama heading inavyosema. Hii inawahusu watu wazima wanaojitambua. Mashoga, Vicheche, Wasagaji, Unsound mind, Haiwahusu.
Ukiona umefika 30 na hujaoa wala kuolewa na huna mpango wa kuoa au kuolewa siku moja anza kujiangalia mara mbili.
Usiku mwema wote
Jiwe limerushwa gizani hilo ukisikia yalaaah ujue limempata mtu.