Mambembe
JF-Expert Member
- Mar 2, 2018
- 2,215
- 2,958
ya mwisho kwa leo,
nimepitiaa huo uzi na kati ya comment zote wanajifanya hawajui mashoga,mara sijui hivi inakuwaje,mara sijui wanadindaje watu kama hao wakimbie, tafiti zinasema kwamba 98% ya wanao wapinga mashoga in public na kujifanya hawawapendi sijuii blah blah either ni mashoga,wanaliwa au ni walaji wa mashoga wakia mbele za watu wanajifanya kuwatukana ila wakiwa chobingo ndo watumiaji.
hivi tujiulize kwa jinsi mashoga wamekuwa wengi dar unafikir wanaongezeka bila kuwa na wateja wao??
trust me wanaume waliopo kwenye ndoa ndo wanaongoza kwa kutembea na mashoga coz hayo mambo kwa wake zao hawayapati.
cha muhimu mama mkanye mwanao,mchunguze mumeo esp kwenye social networks manake kuna balaaa saaana saanaa yaaan ukiingiaa snapchat watoto wa kiume walivyo haribika ni balaaa unaweza sema Mungu sitak mtoto wa kiume
so nawashauri wanawake wenzangu jitahidi kufatiliaa social networks za watoto na waume zenu kamfollow nani?nacomment nn?dm,pm snapchat ndo balaaa watu hawogopi jamani inatishaaaa basi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
nimepitiaa huo uzi na kati ya comment zote wanajifanya hawajui mashoga,mara sijui hivi inakuwaje,mara sijui wanadindaje watu kama hao wakimbie, tafiti zinasema kwamba 98% ya wanao wapinga mashoga in public na kujifanya hawawapendi sijuii blah blah either ni mashoga,wanaliwa au ni walaji wa mashoga wakia mbele za watu wanajifanya kuwatukana ila wakiwa chobingo ndo watumiaji.
hivi tujiulize kwa jinsi mashoga wamekuwa wengi dar unafikir wanaongezeka bila kuwa na wateja wao??
trust me wanaume waliopo kwenye ndoa ndo wanaongoza kwa kutembea na mashoga coz hayo mambo kwa wake zao hawayapati.
cha muhimu mama mkanye mwanao,mchunguze mumeo esp kwenye social networks manake kuna balaaa saaana saanaa yaaan ukiingiaa snapchat watoto wa kiume walivyo haribika ni balaaa unaweza sema Mungu sitak mtoto wa kiume
so nawashauri wanawake wenzangu jitahidi kufatiliaa social networks za watoto na waume zenu kamfollow nani?nacomment nn?dm,pm snapchat ndo balaaa watu hawogopi jamani inatishaaaa basi tu
Sent using Jamii Forums mobile app