Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
1. Anakutafuta Mara mbili kwa siku asubuhi muda wa salamu na usiku muda wa kukutakia usiku mwema
2. Anaanza kuwa msiri katika kufanya vitu vyake kama zamani alikuwa anakwambia mambo yake ghafla anaanza kuwa msirii
3. Ukianza kulalamika kuhusu mwenendo wake au tabia zake anarudisha mapenzi kwa nguvu atajifanyq anakupenda anakunyenyekea ili usimfikirie vibaya ila baada ya muda anarudia vile vile mpka utazoea utakuwa haulalamiki
4. Ukianza kuwa kimya na bize na mambo yako anaanza kulalamika unamtenga humpendi Mara umepatq mwingine
5. Akigundua kuna vitu umeanza kugundua kuhusu mwenendo wake atarudisha upendo haraka sana chochote unachotakq utapata
Haya endeeeni mwenzangu kupeana dalili za kuwa umewekwa pending
2. Anaanza kuwa msiri katika kufanya vitu vyake kama zamani alikuwa anakwambia mambo yake ghafla anaanza kuwa msirii
3. Ukianza kulalamika kuhusu mwenendo wake au tabia zake anarudisha mapenzi kwa nguvu atajifanyq anakupenda anakunyenyekea ili usimfikirie vibaya ila baada ya muda anarudia vile vile mpka utazoea utakuwa haulalamiki
4. Ukianza kuwa kimya na bize na mambo yako anaanza kulalamika unamtenga humpendi Mara umepatq mwingine
5. Akigundua kuna vitu umeanza kugundua kuhusu mwenendo wake atarudisha upendo haraka sana chochote unachotakq utapata
Haya endeeeni mwenzangu kupeana dalili za kuwa umewekwa pending