Ukimwona mtu anapinga uundwaji wa Sheria ya Gesi na Mafuta muogope kama ukoma

sishangai hata kidogo tunajua kufikiri vizuri watanzania ni kazi kubwa sana tena mno kama Watanzania wasomi kabisa wanashabikia madhara ya RICHMOND na kusahau kabisaa MULTIPLIER EFFECT iliozalishwa na RICHMOND na hata wamesahau PARETO OPTIMILITY kabisaa. Leo hii mikataba ya madini tulishaona ni mibovu kabisa leo inatungiwa sheria ya kuilinda mikataba hii watu tunashangilia kabisa hata kama UKAWA nilikuwa sijawaelewa skuwategemea lakini kwa hili kuna haja ya kufikiri upya na kuwaunga mkono. Baada ya kuilinda mikataba hiyo mibovu ndio muiweke wazi kisheria mlikuwa wapi nyie jamani. Miswada karibu kurasa 300 na marekebisho 1000 kwa pamoja.
 
mtanzania ambaye anapinga rasilimali ya utajili wa gass kwa undwaji wa sheria ya gass ni watu wabaya sana ni kuwaogopa kama nyoka.
hivi hii gass inatakiwa sasa tuanze kuuza na uzwaji wa vitaru kulipa kodi ya gass ili taifa lipate mapato mtu mjinga atapinga hataki analeta vurugu bungeni yupo kwenye pub kazungukwa na vijana nao wajinga wapo kwenye mitandao wanaendelea kupinga kuhusa gass.

sasa mm nasema watu wanaosema nchi hii imelaaniwa wameshajichekecha waliolaniwa ni UKAWA
Kum'nyoko umetoka lini Milembe wewe? Umesikia sheria yenyewe inasemaje? Hivi pamoja na akili yako fupi utaweza kuandika eti uamzi wa waziri ndo uwe wa mwisho kwenye maswala ya gesi na mafuta? Una akili timamu wewe?
 
Ningekuwa mjinga ningeungana na mafisi, mapanya, majangili, mafisadi na wahuni wa chama chenu ili kuendelea kuiteketeza nchi. Mtindio wa Ubongo unakusumbua wewe, nenda mirembe kabla hujaanza kuokota makopo mtaani.

Umewauliza wajinga wenzako sababu za kufanya utoto wao bungeni hadi kutolewa ni zipi?
 
Kum'nyoko umetoka lini Milembe wewe? Umesikia sheria yenyewe inasemaje? Hivi pamoja na akili yako fupi utaweza kuandika eti uamzi wa waziri ndo uwe wa mwisho kwenye maswala ya gesi na mafuta? Una akili timamu wewe?

Kwa majibu haya ndio vijana wa bavichwa mnataka mpewe nchi kweli!!
 
Naaam, UKAWA wamelaaniwa. Leo Bunge limepitisha azimio kufanya kazi hadi Jumapili ili kufidia muda uliopotezwa na hoja harebrained za kina Lissu naMnyik, wa miongozo ta Wenjena Machali. Nasikia hili limewakera baadhi ya Wabunge kama Kuasulambai naAAmeona bora waidemAo kuKo uizalilisha hazalai mbele ya TV. Hawataki miswada ipite kurekebish mabokwa aabweniwao ni dukawallahs wanategeea mapato ya kifichoficho hata waadhili wao wameamua kugomea TRA machines ili wakwepe kodi. Could you buy a second hand car from such man? WM

Kwani ni lazima uchangie ukiwa umelewa? Umeandika nini ndugu!!?
 
Kama kweli Miswada ya gesi ina nia njema kwa watanzania haraka ya nini mpaka mkaileta kwa hati ya dharura?

Au ndio mnataimu kabla hamjaondika madarakani nanyi mjitengenezee ulaji kama Naziri karamagi ilivyotufanya kwenye madini?
 
katika wote walioipinga mada hii utaelewa ufinyu wa akili .
sijaona la maana kuhoji sakata na muswada wa gesi wakijadili kwa mapana wanaishia kumtukana kumfedhuri na kumkashifu mtoa mada.
hao nawafananisha na wavuvi wanaokosa samaki baharini kwasababu ya upepo wa kusi na kuiomba serikali iwasaidie kupata samaki
 
halafu mnapiga kelele za mgao wa umeme wakti gesi ipo tayari nchi haina sheria za uchimbaji wa gesi zinawekwa sheria mnaleta vurugu sasa mlitaka gesi ichimbe bila kuwa na sheria yeyote hawa jamaa waajabu sana
 
Ninayeweza kumshangaa ni yule anaye shangaa watetea taifa nyamba... zako
 
Ata sheria ya madini ilitungwa kwa muswada wa dharula.Haitaji uwe na akili nyingi sana ili ung'amue uozo wa sheria ya madini.
CCM wanataka tena udharula katika sheria ya gesi.
Kuna siku tutakuja kuwaelewa nia ya wapinzani ktk hili suala ila itakuwa too late.
 
Gesi ni ye2 ipo kwenye ardhi yetu na ulinzi upo wakutosha. Haraka yanini? Kwanini watanzania hatuna akili?. Hv ukiambiwa huyu dada/kaka kaathirika na vvu kwanini ulale nae haraka kabla ya kupima ujiridhshe. Watz ni wajinga sana sjapata kuona.

Ha ha ha ha!

Hata ukisikia mwanaume au kaka huyu kaathirika, usikimbilie 'kulala naye', jiridhishe mkapime
 
Kum'nyoko umetoka lini Milembe wewe? Umesikia sheria yenyewe inasemaje? Hivi pamoja na akili yako fupi utaweza kuandika eti uamzi wa waziri ndo uwe wa mwisho kwenye maswala ya gesi na mafuta? Una akili timamu wewe?

mleta mada KAVURUGWA! hajui alisemalo,na si yeye pekee bali ccm wote hakili zao hazikosawa!
 
Huwezi kuleta sheria mhimu kama hiyo Kwa hati ya dharura bhana! Inahitaji mjadala mpana wa kushirikisha wamiliki ambao ni wananchi.
 
Back
Top Bottom