Kijana leo JF-Expert Member Joined Apr 6, 2012 Posts 2,860 Reaction score 812 Jan 23, 2015 #41 Bajeti ya kunguru said: Namshukuru mungu my wife jana alimpeleka mtoto kliniki akaambiwa mtoto hapimwi uzito mpaka mama yake apime vvu ndipo akapimwa na kukutwa ni mzima saafii kabisa kwamajibu yake tu na mie hofu imepungua kwa kiwango kikubwa sana. Click to expand... ndugu nenda kapime afya yako na wewe pia hujijue, maana VVU anaweza ke hana lakini me akawa nanvyo, au kinyume chake.
Bajeti ya kunguru said: Namshukuru mungu my wife jana alimpeleka mtoto kliniki akaambiwa mtoto hapimwi uzito mpaka mama yake apime vvu ndipo akapimwa na kukutwa ni mzima saafii kabisa kwamajibu yake tu na mie hofu imepungua kwa kiwango kikubwa sana. Click to expand... ndugu nenda kapime afya yako na wewe pia hujijue, maana VVU anaweza ke hana lakini me akawa nanvyo, au kinyume chake.