Ukiishi mjini jaribu kuwa makini

Ukiishi mjini jaribu kuwa makini

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
31,726
Reaction score
81,768
Kama wewe ni kijana ...Jaribu kuwa makin ...maana unaweza kuishi mjini kama hapa dar jinsi palivyo unakuta mzee wa miaka 60+ anatembeza sambusa kiukweli ...inatia uchungu sana .

wewe kama nikijana usisubiri kuaibika Jaribu kuwekeza mda wako sehemu sahii sio unaishi dar miaka 30 alafu unapanga chumba kimoja uswahilin ....huku ukiwa unakula mlo mmoja ..wakati uwo kwenu kijijin umeacha Shamba ...lako ..kubwa ambalo lingeweza kukulisha miaka yako yote.
 
Kama wewe ni kijana ...Jaribu kuwa makin ...maana unaweza kuishi mjini kama hapa dar jinsi palivyo unakuta mzee wa miaka 60+ anatembeza sambusa kiukweli ...inatia uchungu sana .

wewe kama nikijana usisubiri kuaibika Jaribu kuwekeza mda wako sehemu sahii sio unaishi dar miaka 30 alafu unapanga chumba kimoja uswahilin ....huku ukiwa unakula mlo mmoja ..wakati uwo kwenu kijijin umeacha Shamba ...lako ..kubwa ambalo lingeweza kukulisha miaka yako yote.
Fact mkuu inasikitisha Sana.....
 
Kama wewe ni kijana ...Jaribu kuwa makin ...maana unaweza kuishi mjini kama hapa dar jinsi palivyo unakuta mzee wa miaka 60+ anatembeza sambusa kiukweli ...inatia uchungu sana .

wewe kama nikijana usisubiri kuaibika Jaribu kuwekeza mda wako sehemu sahii sio unaishi dar miaka 30 alafu unapanga chumba kimoja uswahilin ....huku ukiwa unakula mlo mmoja ..wakati uwo kwenu kijijin umeacha Shamba ...lako ..kubwa ambalo lingeweza kukulisha miaka yako yote.
Aisee hili jiwe limepiga vijana wengi kinouma, asante kwa kutukumbusha mzee baba!
 
Ni aibu kulazimisha maisha ya mjini, ninavo amini popote maisha yapo usisubiri ukadhalilika. Rudi nyumbani uishi kwa amani na furaha.
 
Ulipata jibu unitagi.
Naana na yeye Nina hakika ameacha Shamba kijijini.
Ilo lipo sana ...lakn sahv maisha yamebadilika kama unanguvu zako ....Jarbu kuziwekeza sehemu sahii ...maana nguvu zikiisha ...bila kitu lazma uzalilike aijalishi unaishi mjin au kijijin ...maana hata kijijin wapo watu wanaishi kwa tabu sana ....cha muhimu ukiwa bado na nguvu ziwekeze sehemu sahii.
 
Back
Top Bottom